Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,798
- 13,970
- Thread starter
- #21
humu ni hoja tu.Kibena tea plantations Njombe!
humu ni hoja tu.Kibena tea plantations Njombe!
"sometimes you have to risk some issues to gain". Nimekupata mkubwa.Kwanza kabsaa jamaa aache utoto. Pili kama anaona anaibiwa iyo mil35 asafiri yeye kama yeye hadi tarime amuite dem sehem waonane kwanza live. Je akituma nauli afu dem aje ukute matako yote n ya kushoto utafanyaje kama sio kumuacha stendi mtoto wa watu. Na la tatu f35 sio ya kuwazia sana ndugu sa kama anajishaua na f35 mbona hataweza kumtunza sasa. Sometimes you have to risk some issues to gain.
sawa! Ushauri nimeupokea kwa niaba!Kutuma tu 35000 ana wazaa! Huyo mke watatunzana vipi sasa, yeye atume ikiliwa basi mkeka umechanika kwani shingapi
eti mil 35 ila waja😂😂😂Kwanza kabsaa jamaa aache utoto. Pili kama anaona anaibiwa iyo mil35 asafiri yeye kama yeye hadi tarime amuite dem sehem waonane kwanza live. Je akituma nauli afu dem aje ukute matako yote n ya kushoto utafanyaje kama sio kumuacha stendi mtoto wa watu. Na la tatu f35 sio ya kuwazia sana ndugu sa kama anajishaua na f35 mbona hataweza kumtunza sasa. Sometimes you have to risk some issues to gain.
Hao wanaoanaga wao kwa wao mjombani mjaruo ndugu min -me
Mkatie tiketi online yeye akapande gari tu , mtumie 10 ya kula njianini mjaruo ndugu min -me
ni elfu 35 bhana.eti mil 35 ila waja
Si jokes tu mzeeni elfu 35 bhana.
sio mimiMkatie tiketi online yeye akapande gari tu , mtumie 10 ya kula njiani
Sio wewe kivip?sio mimi
sio mimi mkuuHuyo jamaa ni wewe mtoa maada.
Mtumie binti wa watu 35k uje ujilie mema ya Nchi.
Maana kutongoza kitaani kwako kumeshindikana
Anaeolewa ndio atoe nauli.Jamaa yangu amempata binti kutoka Tarime, walipatana kwa kukosea namba tu hawajawahi kuonana isipokuwa kuchati, kupigiana simu, video calls na kutumiana picha.
Jamaa anasema wamependana kweli mpaka wanatumiana sms za "sex chat" binti anasema wazazi wake hawataki aolewe, lakini yeye anataka kuolewa, kwa vile ameamua kuolewa basi jamaa amchukue waoane.
Jamaa amedata, na jinsi binti nae anavyoonekana kujali inaonekana kweli ni wife material kilichobaki ni binti atumiwe nauli aje.
Hapo ndo kwenye kasheshe jamaa anaogopa kutuma nauli, ila binti anasema kama hana nauli basi nikiipata nitakuja, jamaa anataka ajilipue, atume hiyo hela 35,000 binti aje waoane
Kuhusu kuwajulisha wazazi wake, atawajulisha akishafika kwa jamaa
Je, hapa jamaa atume nauli au asubiri binti atafute nauli aje mwenyewe, au aachane na mpango huo?
Ushauri wenu ni muhimu.
ni balaa😁Kibena tea plantations Njombe!
😂😂😂