Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,859
- 3,919
Matendo ya mwanadamu yamegawanyika katika makundi mawili nayo ni matendo ya Nuru (Good Deeds) na matendo ya Giza yani (Evil Deeds).
Evil Deeds - Actions that are intended to harm others and vice versa is true (Good Deeds).
Let's start,
👉By differentiate between Sin, Evil and mistake.
Tofauti Kati ya Dhambi, Uovu na Makosa.
Dhambi - Ni uasi wa sheria ya MUNGU.
Ni matendo yote yaliyo chukizo kwa MUNGU.
1 Yohana 3:4
" Kila mtu afanyaye dhambi, afanya uasi maana dhambi ni uasi."
Maovu/Uovu - Ni dhambi iliyokomaa na kuwa ya kujirudia rudia kwa mhusika.
Isaya 59:2
"Lakini maovu yenu yamewafarakisha ninyi na MUNGU wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia."
Makosa - Ni kutenda mabaya/dhambi kwa kukusudia au kutokukusudia, kwa kujua au kwa kutokujua.
Hapo zamani Mwanafilosofia wa Ugiriki Socrates akijulikana Kama "Baba wa Filosofia ya Magharibi" aliulizwa swali?
What is the greatest evil in life? Socrates, reply like this "The Only Good is Knowledge and the only Evil is Ignorance."
Watu wengi walitegemea Greek Philosopher "Socrates" atajibu kwa details zaidi, lakini He make it simple & clear by mentions Four core words.
1.Good - Nzuri
2.Evil - Uovu
3. Knowledge - Maarifa
4.Ignorance - Ujinga
Ni One Good Man opinion, What is yours?
Take it and digest it.
Easy Day
Evil Deeds - Actions that are intended to harm others and vice versa is true (Good Deeds).
Let's start,
👉By differentiate between Sin, Evil and mistake.
Tofauti Kati ya Dhambi, Uovu na Makosa.
Dhambi - Ni uasi wa sheria ya MUNGU.
Ni matendo yote yaliyo chukizo kwa MUNGU.
1 Yohana 3:4
" Kila mtu afanyaye dhambi, afanya uasi maana dhambi ni uasi."
Maovu/Uovu - Ni dhambi iliyokomaa na kuwa ya kujirudia rudia kwa mhusika.
Isaya 59:2
"Lakini maovu yenu yamewafarakisha ninyi na MUNGU wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia."
Makosa - Ni kutenda mabaya/dhambi kwa kukusudia au kutokukusudia, kwa kujua au kwa kutokujua.
Hapo zamani Mwanafilosofia wa Ugiriki Socrates akijulikana Kama "Baba wa Filosofia ya Magharibi" aliulizwa swali?
What is the greatest evil in life? Socrates, reply like this "The Only Good is Knowledge and the only Evil is Ignorance."
Watu wengi walitegemea Greek Philosopher "Socrates" atajibu kwa details zaidi, lakini He make it simple & clear by mentions Four core words.
1.Good - Nzuri
2.Evil - Uovu
3. Knowledge - Maarifa
4.Ignorance - Ujinga
Ni One Good Man opinion, What is yours?
Take it and digest it.
Easy Day