Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Inavutia Colin Powell a staunch republican 'kum' endorse Joe Biden a staunch Democrat kwenye uchaguzi ujao:
Colin Powell: 'Biden will be a president we will all be proud to salute'
Jamani eeh upinzani si ugomvi. Hata huko CCM kutoa hisia zenu za moyoni wazi wazi si uhaini.
Mabadiliko kwa sasa ilikuwa ni muhimu na muda muafaka sana. Hii ikiwa mahsusi kabisa kuwatia adabu miungu watu wachache wanaojaribu kutupeleka kusiko.
Hii nchi haiwezi kuwa mali ya mtu binafsi kufikia tulikofikishana. God forbid! Mifano ni mingi na lukuki mno.
Siasa za vyama kupishana kila inapobidi ni kichecheo cha maana mno kwa maendeleo ya taifa lolote.
Vyeo ni dhamana, hii nchi ni yetu sote.
Maendeleo si mali ya chama fulani.
Mungu ibariki Tanzania.
Inavutia Colin Powell a staunch republican 'kum' endorse Joe Biden a staunch Democrat kwenye uchaguzi ujao:
Colin Powell: 'Biden will be a president we will all be proud to salute'
Jamani eeh upinzani si ugomvi. Hata huko CCM kutoa hisia zenu za moyoni wazi wazi si uhaini.
Mabadiliko kwa sasa ilikuwa ni muhimu na muda muafaka sana. Hii ikiwa mahsusi kabisa kuwatia adabu miungu watu wachache wanaojaribu kutupeleka kusiko.
Hii nchi haiwezi kuwa mali ya mtu binafsi kufikia tulikofikishana. God forbid! Mifano ni mingi na lukuki mno.
Siasa za vyama kupishana kila inapobidi ni kichecheo cha maana mno kwa maendeleo ya taifa lolote.
Vyeo ni dhamana, hii nchi ni yetu sote.
Maendeleo si mali ya chama fulani.
Mungu ibariki Tanzania.