Ni Ujinga..

Ni Ujinga..

Ni ujinga kuwashobokea wazungu huku kwetu wakati tukienda kwao wanadharau na kutuona mkaa na masokwe!
 
ni Ujinga kukaa nyumbani na kusubili kalani wa SENSA.
 
Ni ujinga kula ugali mkubwa kwa kutumia picha ya Samaki ukitamba kuwa wewe ni mjeshi kumbe shida zimekutanda hadi kope za macho.
 
Kuulizia vyoo vya African type kwenye duka la Hardware wakati unaweza kuvichimba na kuvijenga hata kwa matofali ya kuchoma.
 
Back
Top Bottom