ni ujinga kung'oa watu meno na kucha bila ganzi
kuvaa miwani myeusi wakati unakula wali ili wali uonekane kama pilau....
ni ujinga kukojoa kwenye kibao kilichoandikwa "uckojoe hapa".
Ni ujinga kukutana na mzungu ukamsalimia kiingereza(Wengine ni wareno)
kudunguana bila kinga afu ikitokea mimba mnaulizana na kugombana
i like it ma dia.....