Shwari, I have never read information suggesting ''bombing'' in JF. I ask you to revist MMKJ's article for clarity and better understanding of the debate. MMKJ had it that, since the union is based on mutual agreement,then any changes, modification or nullification should be reached bilaterally. The unilateral decision taken by SMZ to effect changes on constitution of Znz will have an impact on the union constitution.We all know that breaching of extant constitution is nothing but a treason. So, If there is a person who negate the theory of treason as propounded by MMKJ, that person should prove it wrong in this forum.
The Znz want to play double standard, nitty gritty!, that is she want secession while retaining the union status for certain gains.Tanganyikan are vexed with the union which has gotten some hypocracy. The gist as put forward by JF member is, znz should come forward with proposal of killing the union with certitude, from there, the two nations could have a new rapproachment.
We can dissolve the union amicably and maintain historical fraternity, but not through the bungled procedure. As far as I understand Tanganyikan are all weather, therefore the onerous to decide the fate of union through referendum lies to Znz.
I for one, would like to challenge the SMZ government leaders [some are JF members] with acumen clarify the SMZ position in Union with clear terms, not snookering the mainlanders. It is obvious that the ZNz topic has derailed us from the basic and important issue come october 30. We want to put the story behind and ponder the fate of our nation in five years to come with or without Zanzibarian.
Mambo ambayo Zanzibar wanatakiwa kufanya sasa baada hatimaye "kufafanua" kuwa Zanzibar ni nchi "ndani ya Muungano"..
- Wanahitaji kuwa na Pasi zao za Kusafiria nje ya nchi lakini zitakuwa ni "ndani ya Muungano".
- Waziri wao wa Mambo ya Nje "ndani ya Muungano"
- Jeshi lao la ulinzi "ndani ya Muungano"
Haya yote yanawezekana kwa sababu tayari:
- Wana Rais wao "ndani ya Muungano"
- Bendera yao ya Taifa "ndani ya Muungano"
- Wimbo wao wa Taifa "ndani ya Muungano"
- Alama zao za Taifa "ndani ya Muungano"
Mambo ambayo Zanzibar wanatakiwa kufanya sasa baada hatimaye "kufafanua" kuwa Zanzibar ni nchi "ndani ya Muungano"..
- Wanahitaji kuwa na Pasi zao za Kusafiria nje ya nchi lakini zitakuwa ni "ndani ya Muungano".
- Waziri wao wa Mambo ya Nje "ndani ya Muungano"
- Jeshi lao la ulinzi "ndani ya Muungano"
Haya yote yanawezekana kwa sababu tayari:
- Wana Rais wao "ndani ya Muungano"
- Bendera yao ya Taifa "ndani ya Muungano"
- Wimbo wao wa Taifa "ndani ya Muungano"
- Alama zao za Taifa "ndani ya Muungano"
Hii inaitwa hekima; kwa sababu wakishatoka kwenye muungano wataanza kudai nini? watakuwa wamepata wanachotaka au watarudi kwenye status quo ya 1963 baada ya Mwingireza kuondoka, serikali kuwa chini ya kina Shamte (na Sultani kama figure head) nakabla ya mapinduzi? Kwa sababu haijawahi kuwepo serikali ambayo imefanya kazi ya "nchi ya zAnzibar" ukiondoa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Kila kitu kina mwanzo wake, wakiondoka ndani ya Muungano wataunda seikali yao mpya wanavyopenda wao ili mradi wananchi wake wanaridhika. Lakini najua wazi yatafuata ya Comoro kwani hawa watu maswahiba wangu sana tu, ni wabishi sijapata kuona watatiana vidole vya macho wala haitachukua miaka mingi. Kisha Bara itapigiwa SOS..
Mwanakijiji said:Mambo ambayo Zanzibar wanatakiwa kufanya sasa baada hatimaye "kufafanua" kuwa Zanzibar ni nchi "ndani ya Muungano"..
- Wanahitaji kuwa na Pasi zao za Kusafiria nje ya nchi lakini zitakuwa ni "ndani ya Muungano".
- Waziri wao wa Mambo ya Nje "ndani ya Muungano"
- Jeshi lao la ulinzi "ndani ya Muungano"
Haya yote yanawezekana kwa sababu tayari:
- Wana Rais wao "ndani ya Muungano"
- Bendera yao ya Taifa "ndani ya Muungano"
- Wimbo wao wa Taifa "ndani ya Muungano"
- Alama zao za Taifa "ndani ya Muungano"
Hii dhana kuwa wengine ni watumwa na nyie ni waungwana ndiyo itawapeleka pabaya. Hata siku moja hamwezi kumheshimu yule ambae mnamhesabu kuwa ni mtumwa. Ndiyo maana wengine tunasema tuvunje Muungano, tuimarishe mipaka baina ya nchi zetu, halafu tuone itakavyokuwa. Kwangu mimi kumhesabu mtu mwenye mawazo kama yako kuwa ni raia mwenzangu inanitia kichechefu. Vunjeni muunganoo na as far as I am concerned "good riddance"!
Amandla.....
Mnyasa. Kwa hiyo......?
Amandla.......
Mwana kijiji ndio nani ?jamaa anauka Uongo amekuwa na wafuwasi wake hapa analolisema hawakawii kutowa asante leo hii anajifanya profisa mchundo na kutafsi katiba ambayo haijuwi nini kimo ndani yake ,binafsi ningemuomba arudi tena na akufahamisheni jee alikosea katika kutowa tasmini zake au ndio miongoni mwaprofisa wa Jf hutafuta wale wasiokuwa na mbele wala nyuma na kuwahada kuwa wao wanaelewa ukweli wa Mungano ( unapoambiwa ujiambie )
Hili la kujifanya Godfather litawasumbua sana. Umesahau kuwa Zanzibar iliishi ipendavyo hadi pale Abedi Karume alipouliwa? Mbona kulikuwa na mengi yaliyoyakifanywa yenye kutowa mfano kwa Tanganyika? Mnajidanganya kuwa zanzibar ikiwa huru tena(uhuru walioupoteza 1977) haitoweza kusurvive. Kama suala la kujaribu fanyeni lakini najuwa ni tabu kwani sifa yenu ya ubabe itashuka.
Unapotosha maana! Anachofanya Junius ni kukupeni Challenge na hiyo yote ni misemo ya lugha na kama nyie hamko hivyo basi hiyo misemo haikuguseni.
La kujiuliza jee mnaukubali Utanganyika? na pili Muungwana anakubali kwao na yeye mbali ya dharau mnayoiwekea Zanzibar bado anafahari kuwa Mzanzibari. Ama kwa wewe kuwa Muungwana ni kukubali kuwa Mtanganyika basi!
Kuna kitu wazanzibar hawajakitambua na sidhani kuwa wanajua kwanini hawakijui. Hoja hapa si kuzuia wznz kuamua mustakabali wao. Jambo la muhimu ni kuwa wafanye hivyo bila unafiki [hypocracy]. Wana Rais wao "ndani ya Muungano"Bendera yao ya Taifa "ndani ya Muungano",Wimbo wao wa Taifa "ndani ya Muungano",Alama zao za Taifa "ndani ya Muungano" . Mwaka huu wameenda mbali eti wanadai kwanini znz haijatoa mkuu wa majeshi [bungeni] kana kwamba wakuu wa majeshi wanapigiwa kura. Wakipewa uwaziri bara hilo ni muungano, wakitaka kuingiza bidhaa kupitia badari huru znz kukwepa kodi hilo ni muungano, wakipewa ajira mamia kwa maelefu huku bara hilo ni muungano, wakigombea ubunge mkuranga hilo ni muungano, wakilipwa mishahara na kodi za bara hilo ni muungano. Huu unafiki [hypocracy] ndio MMKJ ameuweka katika lugha nzuri '' uhaini'' au treason.[ Treason= betray of one's sovereign or country. Treachery or disloyalty].
Ndio maana tunasema viongozi wenu watamke kuwa mnataka muungano au mumeshauvunja. Watanganyika hawapendi unafiki katika hili.
Nimesoma meseji za wengi humu ila yako tu ndo nimeiona umeandika pumba, yaelekea hata hujui mada iliyopo na pia hata ulichoandika huenda pia hukijui. Hufai humu JFHaaa... haaa ... heee.. heee.. Kama ni kweli... haya ndio matokeo ya kumchagua msanii na kumpa urais. Mpaka aje aondoke na kwetu Morogoro kutakuwa ni jamhuri ya watu wa Morogoro.
Junius,
Mkuu wangu pengine wewe unatazama vitu kwa uasilia wa uzawa kuhalalisha matendo ya Viongozi wa Zanzibar. Labda nikupe mfano mzuri sana unaolingana na kile kilichotokea Zanzibar. Pengine unafikiri kwamba Bara hatufahamu au hatuna akili isipokuwa maneno mengi yasiyokuwa na vitendo..
Huo muafaka wenu pamoja na hizo kura za maoni ni sawa na CUF wamekubali kuwa mke wa pili wa CCM Bara, baada ya mke mkubwa Baraza la Mapinduzi kuafiki kushare mume mmoja. before this CUF was independent lakini sasa hivi mnategemea CCM bara watakubaliana nanyi ktk maswala yapi kama mume wa pande zote mbili.
Na kibaya zaidi ni kwamba nyie sii watoto halali wa CCM, mnaingia ktk nyumba ya baba wa kambo pasipo kupenda kutokana na ashiki za mama yenu CUF. Sasa CCM bara itawaridhisha wake wote na kila mnavyozidi kudai vitu ndivyo CCM bara wanajiona wao ni waume wa shoka yaani wanaweza ku handle wake wawili..Lakini tatizo ni kwamba nyie watoto wa huyu mama CUF kawaahidi maisha bora kwa kutazama mfuko wa CCM bara na sio ubunifu wa mipango inayowawezesha nyie kujipinda kivyenu, kupewa nyumba yenu ya kuishi haina maana mna uhuru zaidi.
Haya madai ya viongozi wenu ati wameungana ni kamba tu wanakufungeni kwani kuungana kwa hawa wake wawili ili iwe nini?...wake hawa wote wanamtegemea mume huyo huyo CCM bara sasa mnachodai hasa ni kitu gani ktk haki na Uhuru wa Wazanzibar?.. Na ndio maana viongozi wenu hawadai talaka isipokuwa wanadai kila mmoja wao apewe hiki ama kile na kibaya zaidi kwa umoja wao wote hakuna madai yoyote yanayohusiana na watoto wao yaani nyie Wanzanzibar..
Hivi kweli wewe na akili yako malalamiko yako siku zote ilikuwa ujue Zanzibar ni nchi au sio nchi ndani ya Muungano?..Hilo tu. na kichekesho kikubwa ni kwamba mnachukulia Muungano wa nchi nyingine ili kutafsiri Muungano wa Tanzania hali Muungano wetu ni unique , tofauti kabisa na miungano mingine kwani tumeua nchi mbili kuunda moja wakati huohuo tukiepuka Zanzibar kumezwa na Tanganyika ndio maana ikawepo serikali ya Zanzibar tukaua serikali ya Bara. Lakini kama tutaunda serikali tatu na kwa kufuata mifano ya mfumo wa nchi nyinginezo Zanzibar itamezwa vibaya sana.
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba muundo huu tuliokuwa nao umetokana na kuepuka kuunda serikali tatu za Muungano kwani haziwezi kuleta uuwiano wa aina yeyote ile. Bara ni nchi kubwa sana ina watu wasiopungua millioni 40 hali Visiwani isojaa kiganjani hawafiki hata millioni 2. Sasa kumbuka tu kwamba siku zote kuundwa kwa serikali tatu kunaondoa utaratibu wote wa kupokezana Uongozi ktk ngazi ya Jamhuri. Hapo ndipo itakuwa mwisho wa kuona Mzanzibar ndani ya uongozi wa nchi hii. Kisha mtalianzisha upya maanake hamtakubali kuwekwa pembeni kabisa, next thing, yatakuwa madai ya kuvunja Muungano, huu sii ujanja ila ni Uhaini kwa msemo wa Mwanakijiji.
Mambo ambayo Zanzibar wanatakiwa kufanya sasa baada hatimaye "kufafanua" kuwa Zanzibar ni nchi "ndani ya Muungano"..
- Wanahitaji kuwa na Pasi zao za Kusafiria nje ya nchi lakini zitakuwa ni "ndani ya Muungano".
- Waziri wao wa Mambo ya Nje "ndani ya Muungano"
- Jeshi lao la ulinzi "ndani ya Muungano"
Haya yote yanawezekana kwa sababu tayari:
- Wana Rais wao "ndani ya Muungano"
- Bendera yao ya Taifa "ndani ya Muungano"
- Wimbo wao wa Taifa "ndani ya Muungano"
- Alama zao za Taifa "ndani ya Muungano"