Ni software gani inayoweza kufanya hard subtitling

Nafaka

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
12,156
31,043
Ni software gani ambayo ni easy kufanya hard subtitling, yani ninamaanisha kufanya srt, au ass file kuwa completely merged na mp4 video. Nimekuwa nikitumia MKVnxtool lakini inachokifanya ina work kwenye VLC tu ila nikiplay file na player nyingine subtitles haziji au nikimtumia amtu haioni subtitles, pia VLC nikijaribu ina crash pia.

Chief-Mkwawa
 
Umejaribu handbrake? Inaweza kumix subtitle ama hata ku convert
Mkv yenye sub kwenda mp4
 
Umejaribu handbrake? Inaweza kumix subtitle ama hata ku convert
Mkv yenye sub kwenda mp4
Sijaijaribu, na vipi hiyo handbrake ina imerge yani kiasi kwamba subtitle inakuwa part ya video hata nikiplay kwenye windows media player zitaonekana?
 
Sijaijaribu, na vipi hiyo handbrake ina imerge yani kiasi kwamba subtitle inakuwa part ya video hata nikiplay kwenye windows media player zitaonekana?
Mkuu nifundishe kuweka sub title bas nataman sana kujua hizi mambo
 
Mkuu nifundishe kuweka sub title bas nataman sana kujua hizi mambo
Kuandika subties au kuweka subtitles kwenye movie? Kama za movie unadownload to halafu unazirename ziwe na jina sawa na movie unaziweka same folder hata ukiplay movie kwenye tv zitatokea tu
 
Kuandika subties au kuweka subtitles kwenye movie? Kama za movie unadownload to halafu unazirename ziwe na jina sawa na movie unaziweka same folder hata ukiplay movie kwenye tv zitatokea tu
Asante umeniongezea elimu

Nahitaji kujua kuandika na kisha ziendane na video.

Pia ziwe na viwango vizuri kama zile za kikorea, kama ushaona Jumong utanielewa
 
Asante umeniongezea elimu

Nahitaji kujua kuandika na kisha ziendane na video.

Pia ziwe na viwango vizuri kama zile za kikorea, kama ushaona Jumong utanielewa
Zipo softwares nyingi za kufanya hivyo ila mimi natumia Aegsub.
Kama hivi
1608790361833.png
 
Asante umeniongezea elimu

Nahitaji kujua kuandika na kisha ziendane na video.

Pia ziwe na viwango vizuri kama zile za kikorea, kama ushaona Jumong utanielewa

download SRT ya kingereza kisha i edit kuwa kiswahili kwa kutumia notepad ndio tunavyofanya
 
download SRT ya kingereza kisha i edit kuwa kiswahili kwa kutumia notepad ndio tunavyofanya
Hata mimi uwa nafanya hivyo nikitaka kuiwekea movie subtitle ya kiswahili ila huenda yeye anataka kujua jinsi ya kutengeneza subtitle nje ya videos ambazo subtitle zake huwezi kuzipata online mfano documentaries
 
Hata mimi uwa nafanya hivyo nikitaka kuiwekea movie subtitle ya kiswahili ila huenda yeye anataka kujua jinsi ya kutengeneza subtitle nje ya videos ambazo subtitle zake huwezi kuzipata online mfano documentaries

inawezekana
 
download SRT ya kingereza kisha i edit kuwa kiswahili kwa kutumia notepad ndio tunavyofanya
Asante haz kwa mchango wako. Nimefana kwa kweli.
Mfano nimerekodi video ya tukio flani, lugha iliyotumika ni Swahili,

Nataka asiezungumza swahili asome tafsiri chini kiingereza chake

Je naanzaje from scratch?

Karibu mkuu Nafaka
 
Asante haz kwa mchango wako. Nimefana kwa kweli.
Mfano nimerekodi video ya tukio flani, lugha iliyotumika ni Swahili,

Nataka asiezungumza swahili asome tafsiri chini kiingereza chake

Je naanzaje from scratch?

Karibu mkuu Nafaka

kuna mambo mawili.

1. wakati wa kuaandaa video unaweza weka subtittle, itasomeka moja kwa moja kwenye video

2. Kuna kutengeneza Text file ambayo utaiembed kwenye hiyo video
 
Uemhaz kwa mchango wako. Nimefana kwa kweli.
Mfano nimerekodi video ya tukio flani, lugha iliyotumika ni Swahili,

Nataka asiezungumza swahili asome takeke nimeifsiri chini kiingereza chake

Je naanzaje from scratch?

Karibu mkuu Nafaka
Umeona hiyo screeshot ya Aegsub niliyokuwekea hapo coment ya juu, hiyo ni video ya kikeke nimeiwekea subtitles za kingereza jana usiku. Ni kwamba ukifungu aegsub, unaweza drag na ku drop in video yake. So itakuwa kama hiyo screenshot ambapo upande mmoja utaona video mwingine mawimbi ya sauti, na chini sehemu ya ku stamp in subtitles. mimi mara nyingi uwa sehemu ya video naifunga maana sihitaji nachohitaji ni mawimbi ya sauti so nikiifunga inakuwa kama hivi

Sasa kinachofanyika kwenye waves unakuwa na mistari miwili. wa kwanza ni starting point wa pili ni ending point. so unaweka mstari kwenye starting point ya mzungumzaji anapoanza kuzungumza sentensi flani, halafu unaweka mwingine ambapo unataka maneno ya ishie. kisha unachapa hayo maneno kama alivyo yatamka ukimaliza unaponyeza enter automatically itaweka code kuwa huu mstari unaanzia hapa mpaka hapa na utakuwa sawa na mzungumzaji.

Njia rahisi ingia youtube utazame tortorials maana kqa maelezo ya kuandika ngumu kunielewa
1608798328968.png
 
Back
Top Bottom