Lokii
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 709
- 2,084
Mzee huo mpunga ndo wa kawaida? Watu tunanyonga tai daily na takehome haizidi hata $200. Uliwezaje kuchomoka huu mtego wa ajira?Faida ya kawaida mkuu maana siyo biashara kubwa ni biashara za kawaida kawaida ambazo zinaweza kuendesha maisha ya mwananchi wa kawaida. Faida yake bado si kubwa sana zinakua bado
Freelancing average ni 800-2000$.