God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
Mkuu hujatupa sababu ya kumtema huyo mwanamke!mwanamke alikuwa akipga diploma pale cbe mm nlikuwa ifm home alipajua na rafk zangu weng aliwafaham so hata kama ningehma lazma angenipaya coz alikuwa karb sana na rafk zangu+wale wawili aliotuchanganya ndani ya mwezi mmoja!!
Au sijaiona sababu, plz naomba uniambie.