Ni siri gani uliyoificha kwa muda mrefu?

Ni siri gani uliyoificha kwa muda mrefu?

Ni siri gani uliyoificha kwa mda mrefu kuliko

je ni siri gani umeificha kwa mida mrefu na una hisi ikiaj julikana itakupa madhala sana
mimi moja ya siri nlizonazo ni kuwa nilipewa pesa na mzee nimpelekee rafiki yake anunue dawa za kutuliza plesha ila kwa akili ya kijinga nikaila ile pesa na kwa bahat mbaya yule mgojwa akafaliki usiku wa siku hyo na mpaka leo najiuliza mzee na familia ya marehem wakijua itakuaje maana wote wanajuaha kuwa malehem pesa nilimpa ila akanywea pombe...mungu anisamehe
kusamehewa kwako nikumweleza baba yako ukweli marehemu hawezi kukusamehe
 
Nakumbuka wakati niko kidato cha kwanza baba alinichukua ili nikae nae.
Matokeo yake ikaishia kulala nae na kuzaa na baba yangu mzazi.
Mpaka mama anafariki anajua mtoto ni wa kaka mmoja ambae mimi na baba tulimpa pesa ili akajitambulishe kuwa ndio baba mzazi wa mtoto.

Mtoto sasa ana miaka 13.
Na baba ameshafariki.
Hii siri nimeapa kutosema popote ambapo wananifahamu.
Mungu ataniombea msamaha kwa mama yangu uko aliko.
Na baba yangu nakulaumu sana.
 
msahama nataman sana ila namna ya kuupa sio simple nahs na daima natafta namna nzur ya kuomba msamaha lakn bado sijapata!!!!!,nimejiweka kalb na famila yake kias kwamba nikiwa na chochote bhas 30% huwa natumia kwao ila ipo siku ntawaomba msamaha direct
Kwauhandishi huu....[emoji15] [emoji15]
 
Mimi nina watoto wa2 nimezaa nje ya ndoa...mmoja yuko Mbeya mwingine yuko hapa Dar...ila mke wangu mpendwa hajui hilo.
Huwa najiuliza siku mke wangu akijua sijui itakuwaje...maake huyu wa dar mama yake ni msumbufu balaa_ila ndio hivyo huwa natumia juhudi kubwa kumfunga mdomo jambo linalonigharimu hela nyingi...
Huyo aliepo Mbeya, sio yule wa mbeya secondary....[emoji45] [emoji45]
 
daahhh niliota napigwa kende aseeee daahhh hakuna ndoto mbaya niliota kama hiyo nilishtuka nimelowa jasho nikajigusa kwanza nilivyokuta pako salama.ndo ikawa siri hadi leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka wakati niko kidato cha kwanza baba alinichukua ili nikae nae.
Matokeo yake ikaishia kulala nae na kuzaa na baba yangu mzazi.
Mpaka mama anafariki anajua mtoto ni wa kaka mmoja ambae mimi na baba tulimpa pesa ili akajitambulishe kuwa ndio baba mzazi wa mtoto.

Mtoto sasa ana miaka 13.
Na baba ameshafariki.
Hii siri nimeapa kutosema popote ambapo wananifahamu.
Mungu ataniombea msamaha kwa mama yangu uko aliko.
Na baba yangu nakulaumu sana.
Pole
ina maana lugha ya kiswahili ndio inapotea kwa kasi ya ajabu hivi? Inasikitisha sana aisee!! Eti "Plesha" "Akafaliki" "Malehem"
 
Nimekula dada mtu na mdogo mtu na hawajui mpka leo
 
Nakumbuka wakati niko kidato cha kwanza baba alinichukua ili nikae nae.
Matokeo yake ikaishia kulala nae na kuzaa na baba yangu mzazi.
Mpaka mama anafariki anajua mtoto ni wa kaka mmoja ambae mimi na baba tulimpa pesa ili akajitambulishe kuwa ndio baba mzazi wa mtoto.

Mtoto sasa ana miaka 13.
Na baba ameshafariki.
Hii siri nimeapa kutosema popote ambapo wananifahamu.
Mungu ataniombea msamaha kwa mama yangu uko aliko.
Na baba yangu nakulaumu sana.
du! ndo maana huwa simuamini mwanaume
yeyote kwa mtoto wa kike.pole sana
 
daahhh niliota napigwa kende aseeee daahhh hakuna ndoto mbaya niliota kama hiyo nilishtuka nimelowa jasho nikajigusa kwanza nilivyokuta pako salama.ndo ikawa siri hadi leo
Sio ndio kawaida yako
 
Kaa kimya wewe acha ujinga, unaweza ukawaomba msamaha na kuwaambia ukweli halisi ulichofanya wakakumaindi na kukuzushia kesi kuwa wewe ndie muuaji au wakakufanyia kitu kibaya unawajua waliwengu au unawasikia wewe shauri yako omba msamaha uone kama na wewe umauti haujakukuta.
 
Be a man, Kuna vitu ambavyo tutaenda navyo kaburini.
Ya ni kweli mueleze ukweli hii siri ni yako usijaribu kumwambia yeyote yule katika familia yako au hiyo familia, wanaweza kusema kuwa wewe ndio muuaji, na kesi ikawa ni kufia jela kama wakichukua sheria mahakamani, wewe nyamaza tu Fanya mambo yako.
 
Mungu akusamehe! Itakuhaunt maisha yako yote

Siri niiweka hapa haitakua siri tena.
 
daahhh niliota napigwa kende aseeee daahhh hakuna ndoto mbaya niliota kama hiyo nilishtuka nimelowa jasho nikajigusa kwanza nilivyokuta pako salama.ndo ikawa siri hadi leo
Hahahah! Umeitoboa aisei...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe ulishaliwa ata kama ilikuwa kwa ndoto.

Chunga sana hii ndoto isije kuwa kweli huko mbelenii.
 
kuna mahusiano ya wazaz na sio wapenzi tena na alishaludi chuo kuendelea na degree pale IAA
Mkuu kwahiyo ukipata genye si utamtafutta mama mtoto jamani! mimi naskia wazaz waliotengana huwa hawaachani.
 
Back
Top Bottom