siri ningne ni
mwaka 2013 sept nlimpola jamaa angu demu bt na mm mwez huohuo sept nkapolwa na rafk yangu ambae ni rafk pia wa niliempolaga thn October yule mwanamke akanambia anaujauzito wangu,nkakataa mimba na maneno mengi ya fedheha kama malayaa nk,alijifungua may 2014 sikumfatilia maana nlijua sio mtoto wangu ss baada ya mda sana akajaga home na mtoto kafanana na mm balaa....ni story mdefu ila pande zote zinanilaumu mpaka leo kwa kuwa nilikataa mimba ila sijawah kuwambia kwann nlikataa maana itamfanya mama wa mtoto kuonekana malaya pia hata mtoto akija kukua akaambiwa kuwa nilimkataaga bado nitabeba lawama zake na sitamwambia sabab ya kukataa ujauzito ili kulinda heshima ya mama yake.