Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Yaani nacheka tuuu aki, wasalimie huko mzungu!
Ni balaa mkuu, ndo maana wanasemaga mwalimu wa mwanamke Ni KIPOFUKulinga sana na kujiona ni wapekee wakati wa usichana wao,
Kujifanya wanachagua sana
CC Zero IQ
Ha ha ha ha ha Unafeli sana Dogo... Kwan ww ushafika 31?
Yaani nacheka tuuu aki, wasalimie huko mzungu!
Ndo niko na hiyo age kabisaa akii!!
Ha ha ha ha kwan sio Dogo? Vip umeolewa au ndio bado.uko kwenye pressure zoneNdo niko na hiyo age kabisaa akii!!
Halafu unaniita aje dogo jamani
Hahahahah, mimi sio dogo!Ha ha ha ha kwan sio Dogo? Vip umeolewa au ndio bado.uko kwenye pressure zone
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo ntakuwowa ukifika 50yrs cha msing ww kusubir na kua na iman kias cha Mbegu ya haladariHahahahah, mimi sio dogo!
Ndo Nakusubiria wewe mzungu uniwowe
Bora nijiwowe tuu jamani!Dogo ntakuwowa ukifika 50yrs cha msing ww kusubir na kua na iman kias cha Mbegu ya haladari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewee
Hauko mbali na ukweli hata economically wanaume wengi ambao kimsingi ndo provider umri huo wengi wanakuwa wameanza kunitegemea28-32 ndio muda wa kuwa kwenye ndoa,chini ya hapo ndoa itakua na ugomvi kila siku as mko immatured,na mkioana Zaidi ya hio age group,itakua na matatizo as well sababu ni umri wa ku focus na career/income so kubalance family life na work inakua ngumu kidogo…..nilionaga mahali sijui kama niko right..
Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+
Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?
Tabia? Mwonekano? Au nini??
Mnyama mzee wa kuchakataKulinga sana na kujiona ni wapekee wakati wa usichana wao,
Kujifanya wanachagua sana
CC Zero IQ
njoo pm natafuta mkeMbona mnatutisha
maana wengine ikiingia 2021 tuna 28 tunakia tushavuka mpaka