joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,174
- 31,758
Unamana mpaka sasa jimbo lipo wazi.Mbona mnatutisha
maana wengine ikiingia 2021 tuna 28 tunakia tushavuka mpaka
Unamana mpaka sasa jimbo lipo wazi.Mbona mnatutisha
maana wengine ikiingia 2021 tuna 28 tunakia tushavuka mpaka
Wanaume kinachowachelewesha kuoa ni niniMara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+
Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?
Tabia? Mwonekano? Au nini??
Wewe sio mzungu na uelewe kwamba kila jamii ina tamaduni zakeHuu utaratbu upo huku kwetu tu africa wenzetu wazungu mtu anaolewa hata akiwa 50yrs
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajidanganya
😂😂😂😂Mambo ya kuuziwa gazeta jioni haya.
Baby come to bedroomMbona mnatutisha
maana wengine ikiingia 2021 tuna 28 tunakia tushavuka mpaka
You’re not late mamii. Njoo pmMbona mnatutisha
maana wengine ikiingia 2021 tuna 28 tunakia tushavuka mpaka
Mbona wa kwangu ana 36 na mimi nina 35 lakini hatujaoana ndo kwanza mwaka wa 2 huu kwenye mahusiano yetu na mimi sina mtoto nae hajawahi uzaa hata kuna shida ganiMara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+
Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?
Tabia? Mwonekano? Au nini??
Chaimiaka 31 hajaolewa?wakati wenzie wa umri huo wanalea vitukuu
Kwan kuna mahala.mtoa mada alizungumzia utamaduni wa muafrika peke ake na sio wazungu?Wewe sio mzungu na uelewe kwamba kila jamii ina tamaduni zake
Nakufahamu in person.Kwan kuna mahala.mtoa mada alizungumzia utamaduni wa muafrika peke ake na sio wazungu?
Una uhakika gan kama mm sio Mzungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu wetu keshasema!Kwan kuna mahala.mtoa mada alizungumzia utamaduni wa muafrika peke ake na sio wazungu?
Una uhakika gan kama mm sio Mzungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
30+ ngozi ya uzee imeshaanza ku appear..
Aisee! Kwann uoe mzee, angali visichana titi saa sita vipo?
Sent from my iPhone using JamiiForums