IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Hapa mtaani kwangu nimegundua maduka karibia yote, wanauza dawa baridi Panadol, Cofta, Paracetamol, Hedex nk.
Pia wanauza na condom.
Pia nimegundua baadhi ya dawa wanazouza ukienda maduka rasmi ya dawa baridi huwezi kupata. Pia dawa zao zimekaa muda mrefu sina hakika kama wahusika wanafuatilia.
Swali langu la msingi ni sahihi kwa maduka ya aina hii kuuza dawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia wanauza na condom.
Pia nimegundua baadhi ya dawa wanazouza ukienda maduka rasmi ya dawa baridi huwezi kupata. Pia dawa zao zimekaa muda mrefu sina hakika kama wahusika wanafuatilia.
Swali langu la msingi ni sahihi kwa maduka ya aina hii kuuza dawa?
Sent using Jamii Forums mobile app