- Thread starter
- #21
Huko huko, mkija mjini vaeni viatu bye kufunika miguu. Mnatimua vumbi sana na kandambili zenu utadhani mbuzi wanaswagwa kwenda mnadani?! Miguu michafuu mnafuata nini mjini?!Na sisi tunao kaa huku Mbagulile mwisho wetu wapi?
Huko huko, mkija mjini vaeni viatu bye kufunika miguu. Mnatimua vumbi sana na kandambili zenu utadhani mbuzi wanaswagwa kwenda mnadani?! Miguu michafuu mnafuata nini mjini?!Na sisi tunao kaa huku Mbagulile mwisho wetu wapi?
Siyo sahihi badirika.me nko chuo na kila siku nazama classroom na kandambili
Ya usafi wa mwili.sheria gani inakataza hayo?
Aksante kwa ushauri tuta jitahidi ila kutimua mavumbi kama ma ng'ombe ya mnadani ndo raha na utamaduni wetu..... tuvumiliane tuuHuko huko, mkija mjini vaeni viatu bye kufunika miguu. Mnatimua vumbi sana na kandambili zenu utadhani mbuzi wanaswagwa kwenda mnadani?! Miguu michafuu mnafuata nini mjini?!
Mbona hutembei uchi?! Vaeni viatu acheni kuvaa kandambili
Ndala zina uchafu gani? Unajua kuwa unatembea na mavi, mkojo mwilini mwako?Ya usafi wa mwili.
Nyie mnakera sana, iwe mvua kandambili liwe joto kandambili. Mvua mnarusha tope, jua mnatimua vumbi.Aksante kwa ushauri tuta jitahidi ila kutimua mavumbi kama ma ng'ombe ya mnadani ndo raha na utamaduni wetu..... tuvumiliane tuu
Vaeni viatu msilazimishe uchafu.Ndala zina uchafu gani? Unajua kuwa unatembea na mavi, mkojo mwilini mwako?
Ukute katoka mbagala mpaka posta kwa mguu. Bora atembee pekuSiku hizi nikikatiza mitaa ya Dar nakutana na waliovaa ndala na soksi tena watoto wa kiume.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Huwezi ukampangia mtu avae vipi kila mtu ana maisha yakeMbona hutembei uchi?! Vaeni viatu acheni kuvaa kandambili
Vingine inabidi mlazimishwe kuviacha, lasivyo mtajisaidia pembeni ya barabara tukiwaachia kila kitu.Kila mtu anachagua aishi vipi kumbuka
Wakati wa jua tunakuwa mang'ombe wakati wa mvua tunakuwa mabata maji....😆😆😆Nyie mnakera sana, iwe mvua kandambili liwe joto kandambili. Mvua mnarusha tope, jua mnatimua vumbi.
Mh, basi tuvae na gloves mikononi!Vaeni viatu msilazimishe uchafu.
Kuna usafi wa jumla, usijiangalie wewe tu bali angalia na wengine. Mnaturushia tope nyakati za mvua na mnatimua vumbi sana nyakati za kuangazi.
Mbona vyako vingine hulazimishwi kuacha, hivi unafikiri life style yako kila mtu anaipenda?Vingine inabidi mlazimishwe kuviacha, lasivyo mtajisaidia pembeni ya barabara tukiwaachia kila kitu.
Kama mnatembelkea mukino muivalishe viatu piaMh, basi tuvae na gloves mikononi!
Msije mjini kaeni huko huko banana kitundaMbona vyako vingine hulazimishwi kuacha, hivi unafikiri life style yako kila mtu anaipenda?
Wapo ambao hawataki hata kuisikia ila kwakuwa una uhuru wanakuacha na maisha yako...
leave them alone