Utoto ushamba na ujinga ndio vinagharimu mapenzi ya watu. Hakukua na ulazima wa yeye kuleta mada ya kijinga hivi mkuu kwa akili tu unajiuliza je yeye akisema anazawadi za ex mleta mada atajiskiaje. Kuna ujinga tulipandikiziwa sasa unatutafunaHivi hua mnatafuta nini kwa hao ma ex?
Ukisha achana na mtu endelea na life lako bila kuangalia nyuma,
Sasa unataka kumwambia partner wako kua una zawadi ulipewa na ex wako ili iweje?
Pengine yeye anazo zawadi kibao ambazo alipewa na x wake ila amepiga kimya tu coz haina maana kusema.
NakaziaHivi hua mnatafuta nini kwa hao ma ex?
Ukisha achana na mtu endelea na life lako bila kuangalia nyuma,
Sasa unataka kumwambia partner wako kua una zawadi ulipewa na ex wako ili iweje?
Pengine yeye anazo zawadi kibao ambazo alipewa na x wake ila amepiga kimya tu coz haina maana kusema.
Ila watu mnaujasiri, bado mnapeana zawadi na maex means mnawasiliana🤔🤔...anyways me nikishaachana na mtu hua sirudi nyuma hata iweje
Mtu ambaye unatembea na shahawa zake na yeye anatembea na mate yako kuna ubaya gani kusalimiana?Na hayo ndio madhara ya kuwasiliana na ex
Ukiachana na mtu hata kama mlikubaliana kiroho safi muachane ni heri msiwe na mawasiliano ya aina yoyote,yani mnaachana mnakuwa kama hamjuani
Sasa wewe ex wako mnapeana zawadi kama nani na nani yani?marafiki?
Me tooIla watu mnaujasiri, bado mnapeana zawadi na maex means mnawasiliana🤔🤔...anyways me nikishaachana na mtu hua sirudi nyuma hata iweje