Ni sahihi anachofanya Gerson Msigwa na RC Mbeya kuhusu dharau kwa serikali wanayoisimamia? Tumeshindwa kusimamia watanzania tutaweza kusimamia wageni?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,125
Wanachofanya Gerson Msigwa na RC Mbeya akivymiliki kwa kweli; wanawatukana watanzania adharani bila woga wakiamini wanatetea serikali.

Msemaji wa serikali kutamka kwamba Serikali imeshindwa kuwasimamia watumishi wa bandari ni kumdharau aliyemteua. Kutamka adharani kwamba bandarini kuna wezi na hakuna aliyekamatwa kwa wizi siyo sahihi. Serikali ina vyombo vyake ambavyo vimewekwa; tukiendelea kusema serikali imeshindwa kuwadhibiti wezi hivyo bora tumpe mgeni nani atamdhibiti huyo mgeni ?

Mamlaka kuu ya serikali inaanza kudharauliwa bila watu kuona inadharauliwa......Wakati wa Mhe. Magufuli ulikuwa uwezi kusimama adharani na kuidharau serikali iliyokutuea.

Niwashauri wateule wa Mhe. Rais kujipa muda kutafakari maneno yao kwa sababu yanapotoka yanareflect imani waliyonayo kwa mwenye nchi.

Bandari inasimamiwa na Serikali then serikali inalalamika kwamba imeshindwa kweli kusimamia watumishi? Kama nawaza sawasawa hawa watu wanapaswa kuwekwa pembeni na serikali ikanishe hizi taarifa.
 
DP World wao sio wezi? Hivi unajua madini ya Tanzania yameibwa na akina nani? Unajua wanyama wanaibwa kwa kiasi gani?

Hao wezi wa Tanzania wapo wapi mbona hakuna matajiri au wanaiba kwa ajili kujenga nyumba za kuishi? Tofauti wizi na ufisadi.......hakuna taifa linapambana na wezi mataifa yanapambana na mafisadi....

Leo mtu anapiga rushwa ya kwenda kunywa bia ambapo bia yenyewe ananunua kwenye bar ya mtanzania yenye bar med mtanzania ituume?

Mtu anachukua fedha za rushwa bandarini aende akajenge kwa kuajiri mtanzania nayo ituume?

Lakini hata kama tunataka kuuza tusijidharau hadi wageni wakatuona tumejichoka

Msemaji wa Serikali apaswi kuwadharau Watanzania hata kama hawana akili....tufanye siasa lakini tuwaachie watanzania japo utu wao.......kuna tofauti gani na kusema watanzania tumeshindwa kujisimamia tunaletewa watu wakutisimamia? Kwamba huu siyo utumwa?
 
Wanachofanya Gerson Msigwa na RC Mbeya akivymiliki kwa kweli; wanawatukana watanzania adharani bila woga wakiamini wanatetea serikali.

Msemaji wa serikali kutamka kwamba Serikali imeshindwa kuwasimamia watumishi wa bandari ni kumdharau aliyemteua. Kutamka adharani kwamba bandarini kuna wezi na hakuna aliyekamatwa kwa wizi siyo sahihi. Serikali ina vyombo vyake ambavyo vimewekwa; tukiendelea kusema serikali imeshindwa kuwadhibiti wezi hivyo bora tumpe mgeni nani atamdhibiti huyo mgeni ?

Mamlaka kuu ya serikali inaanza kudharauliwa bila watu kuona inadharauliwa......Wakati wa Mhe. Magufuli ulikuwa uwezi kusimama adharani na kuidharau serikali iliyokutuea.

Niwashauri wateule wa Mhe. Rais kujipa muda kutafakari maneno yao kwa sababu yanapotoka yanareflect imani waliyonayo kwa mwenye nchi.

Bandari inasimamiwa na Serikali then serikali inalalamika kwamba imeshindwa kweli kusimamia watumishi? Kama nawaza sawasawa hawa watu wanapaswa kuwekwa pembeni na serikali ikanishe hizi taarifa.
Bandari kwa maana pana ya kisasa ni zaidi ya upakiaji na ushushaji wa mizigo pale bandarini.

Mnahitaji sana kuelimishwa kabla hamjaendelea kuulisha umma matango pori.

Bandari ni mlolongo mzima wa biashara inayoanza huko Congo, Rwanda, kuja hapa TPA na kwenda mpaka mzigo unapofika huko ughaibuni, hiyo ni maana pana ya bandari kwa mtazamo wa kisasa.

Tunapoongela bandari kuwekezwa na DPW tukumbuke kuwa kushusha na kupakia mzigo melini ni sehemu ndogo sana ya maana pana ya bandari kwa mtazamo wa karne hii.
 
Mawakala wa wafanyabiashara bandarini mnahangaika sana . Serikali imeshaamua haturudi nyuma tafuteni kazi za kufanya .
 
Bandari kuna majizi hilo ni kweli nawaunga mkono.

Kuhusu kuwaleta hao DP nakubali kabisa wabongo ni wavivu na wapenda rushwa sana. Labda kuhusu terms za mkataba ndio wabadilishe.
Kumbe wamaekuja kupambana na majizi. Mapato ya Bandari yatashuka sana, nani atakagua hesabu zao, kama tu mkataba ulikuwa siri.
 
Wanachofanya Gerson Msigwa na RC Mbeya akivymiliki kwa kweli; wanawatukana watanzania adharani bila woga wakiamini wanatetea serikali.

Msemaji wa serikali kutamka kwamba Serikali imeshindwa kuwasimamia watumishi wa bandari ni kumdharau aliyemteua. Kutamka adharani kwamba bandarini kuna wezi na hakuna aliyekamatwa kwa wizi siyo sahihi. Serikali ina vyombo vyake ambavyo vimewekwa; tukiendelea kusema serikali imeshindwa kuwadhibiti wezi hivyo bora tumpe mgeni nani atamdhibiti huyo mgeni ?

Mamlaka kuu ya serikali inaanza kudharauliwa bila watu kuona inadharauliwa......Wakati wa Mhe. Magufuli ulikuwa uwezi kusimama adharani na kuidharau serikali iliyokutuea.

Niwashauri wateule wa Mhe. Rais kujipa muda kutafakari maneno yao kwa sababu yanapotoka yanareflect imani waliyonayo kwa mwenye nchi.

Bandari inasimamiwa na Serikali then serikali inalalamika kwamba imeshindwa kweli kusimamia watumishi? Kama nawaza sawasawa hawa watu wanapaswa kuwekwa pembeni na serikali ikanishe hizi taarifa.
Kila ubaya utalipwa
 
Kumbe wamaekuja kupambana na majizi. Mapato ya Bandari yatashuka sana, nani atakagua hesabu zao, kama tu mkataba ulikuwa siri.
Mapato yatashuka nani kasema? Hapo bandarini kila mwaka mnakagua wizi unaisha?
Tukija kutoa mizigo kazi kuzungushwa tu na kutaka cha juu ili mzigo utoke.
 
Mapato yatashuka nani kasema? Hapo bandarini kila mwaka mnakagua wizi unaisha?
Tukija kutoa mizigo kazi kuzungushwa tu na kutaka cha juu ili mzigo utoke.
Hao dp world pia wanatuhumiwa kwa rushwa huko kwingine
 
Mapato yatashuka nani kasema? Hapo bandarini kila mwaka mnakagua wizi unaisha?
Tukija kutoa mizigo kazi kuzungushwa tu na kutaka cha juu ili mzigo utoke.
Huu uzembe utadhibitiwa kwa kuwatoa wazembe wote. Sijui nani atabaki. Gari ikishafika kuna mizani kuna trafiki. Kuna mchakato mrefu
 
Back
Top Bottom