musicarlito
Senior Member
- Dec 29, 2020
- 176
- 289
Wasalaam
Nilikuwa na manzi wangu nikiishi Ubungo Riverside by then, yeye akiishi Mbezi Kimara. Alikuja kunivuruga na chanzo kikiwa ni issue za kutoaminiana, aliniomba msamaha lakini nilikuwa nimeamua kumuacha na niliapa kutorudiana naye.
Baada ya mitihani alirudi kwao Arusha, masikini kumbe sikuwa na uhakika wa uamuzi niliofanya, bado nilikuwa nampenda. Nilijaribu kumuomba msamaha kwenye simu turudiane aligoma, baadae alinionea huruma na kunambia kama kweli nampenda niende Arusha tukayajenge.
Kwa mara ya kwanza nilipanda basi kuelekea Arusha, nikampa taarifa mwenyeji wangu alanambia nisijali ananisubiri, tulipofika Moshi nilimtaarifu akanipa pole akanambia niwe na amani.
Tunakaribia stendi nikampigia akanambia niwe mvilivu atachelewa kidogo...tulifika saa 2 usiku...nilipiga simu mara nyingi haikupokelewa, baadae simu ilikuwa haipatikani kabisa.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kupanda basi jingine asubuhi kugeuka Dar, nikiwa njiani tumeiacha Moshi ikaaingia text yake ananiomba samahani anauliza bado niko stendi?
"Mellisa nimeshakusamehe ila sintokuja kusahau"
Safari gani huji kuisahau?
Nilikuwa na manzi wangu nikiishi Ubungo Riverside by then, yeye akiishi Mbezi Kimara. Alikuja kunivuruga na chanzo kikiwa ni issue za kutoaminiana, aliniomba msamaha lakini nilikuwa nimeamua kumuacha na niliapa kutorudiana naye.
Baada ya mitihani alirudi kwao Arusha, masikini kumbe sikuwa na uhakika wa uamuzi niliofanya, bado nilikuwa nampenda. Nilijaribu kumuomba msamaha kwenye simu turudiane aligoma, baadae alinionea huruma na kunambia kama kweli nampenda niende Arusha tukayajenge.
Kwa mara ya kwanza nilipanda basi kuelekea Arusha, nikampa taarifa mwenyeji wangu alanambia nisijali ananisubiri, tulipofika Moshi nilimtaarifu akanipa pole akanambia niwe na amani.
Tunakaribia stendi nikampigia akanambia niwe mvilivu atachelewa kidogo...tulifika saa 2 usiku...nilipiga simu mara nyingi haikupokelewa, baadae simu ilikuwa haipatikani kabisa.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kupanda basi jingine asubuhi kugeuka Dar, nikiwa njiani tumeiacha Moshi ikaaingia text yake ananiomba samahani anauliza bado niko stendi?
"Mellisa nimeshakusamehe ila sintokuja kusahau"
Safari gani huji kuisahau?