allan248
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 1,100
- 680
Flawless victory...Kakupiga fatality
Flawless victory...Kakupiga fatality
Kwahiyo ulienda kimbelembeleee, ukijiona wewe siro?Nishawahi toka nyumbani kwetu saa kumi usiku baada ya kupigiwa na mpenzi wangu kwamba kuna wezi wameingia kwao nikasaidia....Nimbali kidogo afu kuna eneo lazima ukatishe ni la wahuni nikapita kufika nikakamatwa tena kidogo nipigwe risasi kwamba mm ni mwizi na demu kasema hanijui sitasahau Halima
Huyo atakuwa ni halima ndala ndefuNishawahi toka nyumbani kwetu saa kumi usiku baada ya kupigiwa na mpenzi wangu kwamba kuna wezi wameingia kwao nikasaidia....Nimbali kidogo afu kuna eneo lazima ukatishe ni la wahuni nikapita kufika nikakamatwa tena kidogo nipigwe risasi kwamba mm ni mwizi na demu kasema hanijui sitasahau Halima
Nishawahi toka nyumbani kwetu saa kumi usiku baada ya kupigiwa na mpenzi wangu kwamba kuna wezi wameingia kwao nikasaidia....Nimbali kidogo afu kuna eneo lazima ukatishe ni la wahuni nikapita kufika nikakamatwa tena kidogo nipigwe risasi kwamba mm ni mwizi na demu kasema hanijui sitasahau Halima
Wasalaam
Nilikuwa na manzi wangu nikiishi Ubungo Riverside by then, yeye akiishi Mbezi Kimara.
Alikuja kunivuruga na chanzo kikiwa ni issue za kutoaminiana, aliniomba msamaha lakini nilikuwa nimeamua kumuacha na niliapa kutorudiana nae.
Baada ya mitihani alirudi kwao Arusha, masikini kumbe sikuwa na uhakika wa uamuzi niliofanya, bado nilikuwa nampenda
Nilijaribu kumuomba msamaha kwenye simu turudiane aligoma, baadae alinionea huruma na kunambia kama kweli nampenda niende Arusha tukayajenge.
Kwa mara ya kwanza nilipanda basi kuelekea Arusha, nikampa taarifa mwenyeji wangu alanambia nisijali ananisubiri, tulipofika Moshi nilimtaarifu akanipa pole akanambia niwe na amani.
Tunakaribia stendi nikampigia akanambia niwe mvilivu atachelewa kidogo...tulifika saa 2 usiku...nilipiga simu mara nyingi haikupokelewa, baadae simu ilikuwa haipatikani kabisa.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kupanda basi jingine asubuhi kugeuka Dar...nikiwa njiani tumeiacha Moshi ikaaingia text yake ananiomba samahani anauliza bado niko stendi??
"Mellisa nimeshakusamehe ila sintokuja kusahau"
Safari gani huji kuisahau???
Mwanangu hapo ulipigwa na kitu kizito dah pole sanaWasalaam
Nilikuwa na manzi wangu nikiishi Ubungo Riverside by then, yeye akiishi Mbezi Kimara.
Alikuja kunivuruga na chanzo kikiwa ni issue za kutoaminiana, aliniomba msamaha lakini nilikuwa nimeamua kumuacha na niliapa kutorudiana nae.
Baada ya mitihani alirudi kwao Arusha, masikini kumbe sikuwa na uhakika wa uamuzi niliofanya, bado nilikuwa nampenda
Nilijaribu kumuomba msamaha kwenye simu turudiane aligoma, baadae alinionea huruma na kunambia kama kweli nampenda niende Arusha tukayajenge.
Kwa mara ya kwanza nilipanda basi kuelekea Arusha, nikampa taarifa mwenyeji wangu alanambia nisijali ananisubiri, tulipofika Moshi nilimtaarifu akanipa pole akanambia niwe na amani.
Tunakaribia stendi nikampigia akanambia niwe mvilivu atachelewa kidogo...tulifika saa 2 usiku...nilipiga simu mara nyingi haikupokelewa, baadae simu ilikuwa haipatikani kabisa.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kupanda basi jingine asubuhi kugeuka Dar...nikiwa njiani tumeiacha Moshi ikaaingia text yake ananiomba samahani anauliza bado niko stendi??
"Mellisa nimeshakusamehe ila sintokuja kusahau"
Safari gani huji kuisahau???
Ilibidi upige kwanza then ndo aende kwao kuweka mambo sawaMwaka 2013 nilisafiri kutoka Morogoro nilipokuwa naishi kwenda Tanga Majani mapana kumfata dame wangu mmoja hivi! nilikuwa sijawahi kufika Tanga! Nilifika saa 10 jioni saa moja demu akaja baada ya stori kidogo tu akanambia anaenda home kuweka mambo sawa ili arudi kulala pale gest nilipofikia! baadae simu haikupatikana mpaka kesho naamua kurudi moro! Daah! Frola stasahau kudadeki...
Huyy financial fala, sana nilimuingiza ubungo kagame kumla akazingua nilikuwa sijalipia hotel nikaenda naye makumbusho kwenye rav4 yangu nikamsubiria kusuka nikamsindikiza hadi Morocco badae nikagundua yuko na mbabu mmoja mjini nikamtena hakujuta sana ila mie niliumia kiasi. Ikawa hivyo..[mention]financial services [/mention] njoo uelezeee jinsi ulivyo mtenda babu
Jamaani' Kuna watu wanarisk kweliMtatoa visa vyote lakini hamuwezi kumfikia huyu jamaa hapa chini dadeki
View attachment 2216679
View attachment 2216680
View attachment 2216682
YessirFlawless victory...
😂😂😂😂 elezea visanga vyako… mimi sinaPole sana... tit for tat
Kufanya safari very risky kwa ajili ya mapenzi, sijawahi...😂😂😂😂 elezea visanga vyako… mimi sina
Jaribu… likikukuta jambo usisahau mrejesho..Kufanya safari very risky kwa ajili ya mapenzi, sijawahi...
Nataka nijaribu lakini nione itakuaje...