I AM WHO I AM
Member
- Oct 18, 2012
- 49
- 35
Ha ha ha Baba lao tunatesa tu. Airtel ndo kiboko yenu. Vifurushi bei nzuri. Ukimpigia mtu kama hapatikan ni kweli hapatikani na sio hao Voda+Tigo
Na mimi hivyo hivyo.mi sikumbuki hata line nimeitupia wapi. Wanabowa sana
Karibuni tiGO
Jamani Musilaumu! Tupo tunaandaa vifurushi vya kufungia mwaka,mutafurahi nyinyi! kuwa na subira. VODACOM KAZI NI KWAKO!
mkuu pengine umeshindwa kuvielewa hivyo vifurushi na umejikuta una potosha alaf tusi sahau hii ni biashara.
Walicho fanya voda ni kufanya mabadiliko kidogo kwenye muda wa kupiga mitandao mingine ukilinganisha na voda -voda.
Mfano vifurushi vya masaa24
tsh400=900sec(voda-voda)+45sec(mitandao mingine)+100sms+50mb.
Tsh500=1200sec(voda-voda)+50sec(mitandao yote)+250+100mb
tsh1000=3000sec(voda-voda)+60sec(mitandao mingine)+300+100mb
ukijaribu kuangalia vifurishi hivi utagundua kuwa sec zilizokuwa zina tumika mitandao yote kwa sasa zina tumika voda-voda na bado wametoa sekunde kwa mitandao mingine.
Si kweli kuwa hupigi mitandao mingine bali muda wa kupiga umepunguzwa, na hii ni biashara.
Karibu zantel unatwanga kotekote