Ni Rais.........

aduwilly

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
1,191
Reaction score
320
1. Ni Rais anaependa kusafiri kuliko kukaa nchini kwake

2. Ni Rais anaependa kubembea akiwa nchi za watu

3. Ni Rais anaependa kusikilizwa na wazee badala ya yeye kuwasikiliza wao

4. Ni Rais dhaifu

5, Ni Rais.......

6. Ni Rais .......
 
5.ni rais mpenda misiba
6.ni rais anayependa kuchekacheka kwenye kero za wengine
 
Ni Rais anayetoa wito pale anapotakiwa kuchukua maamuzi vigumu. Ni Rais anayetoa maagizo yasiyotekelezwa na hachukui hatua yoyote kuyasimamia.
 
1. Ni Rais anaependa kusafiri kuliko kukaa nchini kwake

2. Ni Rais anaependa kubembea akiwa nchi za watu

3. Ni Rais anaependa kusikilizwa za wazee badala ya yeye kuwasikiliza wao

4. Ni Rais dhaifu

5, Ni Rais.......

6. Ni Rais .......

7. Ni mpenda mademu 8. Mlipa fadhila mzuri 9.
 
Rais mchukukia rushwa kwa kinywa na matendo yaipenda! Rais mchekeamoo!
 
Ni rais ambae Jacob Zuma ni role model wake kwa kuoa wake wengi
 
Ni rais anaeamini kila kitu ni upepo utapita tu
 
ni rais anayependa kupiga picha na wanamusic akiwa ugaibuni.
ni rais mwenye historia ya kupenda mademu kwa sana.
ni rais mwenye mipasho.
ni rais mtoto wake ni fisadi.
 
ni rais anayependa kupiga picha na wanamusic akiwa ugaibuni.
ni rais mwenye historia ya kupenda mademu kwa sana.
ni rais mwenye mipasho.
ni rais mtoto wake ni fisadi.

Duh! hiyo yenye red ndo nimeipenda
 
Jf hadi raha,ni rais mdini kuliko wote waliomtangulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…