No admission
JF-Expert Member
- Nov 26, 2011
- 215
- 68
JK Nyerere: Alishindwa kujenga hata nyumba yake ya kuishi lakini chanzo cha umaskini kilianzia kwake kwa kuanzisha azimio la Arusha
A. Mwinyi: Free rain leadership: Nchi ilijilimbikizia madeni kibao mpaka leo hii hayajamalizwa kulipwa
B. Mkapa: Utandawazi na soko huria: Kajilimbikizia mali nyingi na kawa chanzo cha rushwa Tanzania
JK aka baba Mwanaasha: Hapa sichangii
Naomba maoni yenu
A. Mwinyi: Free rain leadership: Nchi ilijilimbikizia madeni kibao mpaka leo hii hayajamalizwa kulipwa
B. Mkapa: Utandawazi na soko huria: Kajilimbikizia mali nyingi na kawa chanzo cha rushwa Tanzania
JK aka baba Mwanaasha: Hapa sichangii
Naomba maoni yenu