Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,875
Ukihudhuria mahafali yao vyuo tajwa hapo juu; UDSM, IFM, SUA, MZUMBE si rahisi kusikia wanatangaza wanafunzi wenye first class wengi, utakuta wanne au watano hawazidi kumi mara nyingi.
Lakini ukienda UDOM utakuta first class wapo karibia 70 kwa course zote.
Sababu nini?
UDSM na IFM hawana walimu competent kama UDOM au walimu wao wanagawa marks ovyo? Au hakuna utaratibu wa kubana sana wanafunzi kama vyuo vingine?
UPDATE:
Wakuu mpaka sasa humjajua mantiki ya uzi wangu? Hapo ugreat thinker wenu uko wapi?
Hii nimeileta makusudi sana kuona mtazamo wa watu na mawazo ya watu juu ya ku urgue kwenye masuala ya msingi, kukosoa mtoa mada kwa data, kuleta uthibitisho mbali mbali,
Badala yake waliotoa uthibitisho na kuchangia kama wasomi ni wachache sana,
Lakini sababu ya kwani ni nimeanzisha uzi huu?
1. Kuangalia ni Watanzania wangapi bado wana mawazo potofu kwenye masuala ya kuamini chuo , bila kuangalia chuo kina deal na nini, ni yaani ulinganishe DUCE na Muhimbili? Automatically hata marks zao hazitaendana maana kuna baadhi ya course hazishabihiani hata kulinganishwa si vema.
2. Nimetaka kujua je hawa tunaowaita wasomi hapa JF wameshapunguza kusifia vyuo walivyosoma bila kufanya utafiti juu ya Vyuo vingine?
3. Bado kuna ulimbukeni wa kudhaniwa chuo kikuu ni kimoja tu UDSM, vingine ni usindikizaji?
4. Pia nilitaka kuona kama kuna atakaye leta maelezo thabiti juu ya CV za walimu au wahadhiri wa vyuo husika kwa sifa zao, bila tu kukaa kubishana kama watoto wa chekechea
5. Nilitegemea kuona kuna mapendekezo kadhaa juu ya nini kifanyike kuokoa elimu yetu ,yaani ni upuuzi kujisifia umetoka UDSM wakati kimataifa ni ya 17,300 kwa ranking.
Ni hayo tu
KUNA WATU WAMEANZA KUBEZA ELIMU YANGU AU MNATAKA NA VYETI KABISA?
KATORO PRIMARY SCHOOL 1992 - 1998
Nikafaulu tulitoka wawili kata nzima elimu bado ni elimu kwenda TABORA BOYS 1999 - 2002. Mwanaume nikakung'uta PTS 12. Nikajoin MINAKI HIGH SCHOOL 2003 - 2005 EGM. Nikakung'uta 6 PTS kwenda zangu B.COM IN CORPORATE FINANCE UDSM
Alafu mtu una elimu ya kuunga unga unajilinganisha na mimi. Uzi huu nimeuleta makusudi kutrick point fulani ambayo vyuo vingi vinagawa marks za free. Hatimaye tunazalisha wasio competent kazini
Nathan JR
Lakini ukienda UDOM utakuta first class wapo karibia 70 kwa course zote.
Sababu nini?
UDSM na IFM hawana walimu competent kama UDOM au walimu wao wanagawa marks ovyo? Au hakuna utaratibu wa kubana sana wanafunzi kama vyuo vingine?
UPDATE:
Wakuu mpaka sasa humjajua mantiki ya uzi wangu? Hapo ugreat thinker wenu uko wapi?
Hii nimeileta makusudi sana kuona mtazamo wa watu na mawazo ya watu juu ya ku urgue kwenye masuala ya msingi, kukosoa mtoa mada kwa data, kuleta uthibitisho mbali mbali,
Badala yake waliotoa uthibitisho na kuchangia kama wasomi ni wachache sana,
Lakini sababu ya kwani ni nimeanzisha uzi huu?
1. Kuangalia ni Watanzania wangapi bado wana mawazo potofu kwenye masuala ya kuamini chuo , bila kuangalia chuo kina deal na nini, ni yaani ulinganishe DUCE na Muhimbili? Automatically hata marks zao hazitaendana maana kuna baadhi ya course hazishabihiani hata kulinganishwa si vema.
2. Nimetaka kujua je hawa tunaowaita wasomi hapa JF wameshapunguza kusifia vyuo walivyosoma bila kufanya utafiti juu ya Vyuo vingine?
3. Bado kuna ulimbukeni wa kudhaniwa chuo kikuu ni kimoja tu UDSM, vingine ni usindikizaji?
4. Pia nilitaka kuona kama kuna atakaye leta maelezo thabiti juu ya CV za walimu au wahadhiri wa vyuo husika kwa sifa zao, bila tu kukaa kubishana kama watoto wa chekechea
5. Nilitegemea kuona kuna mapendekezo kadhaa juu ya nini kifanyike kuokoa elimu yetu ,yaani ni upuuzi kujisifia umetoka UDSM wakati kimataifa ni ya 17,300 kwa ranking.
Ni hayo tu
KUNA WATU WAMEANZA KUBEZA ELIMU YANGU AU MNATAKA NA VYETI KABISA?
KATORO PRIMARY SCHOOL 1992 - 1998
Nikafaulu tulitoka wawili kata nzima elimu bado ni elimu kwenda TABORA BOYS 1999 - 2002. Mwanaume nikakung'uta PTS 12. Nikajoin MINAKI HIGH SCHOOL 2003 - 2005 EGM. Nikakung'uta 6 PTS kwenda zangu B.COM IN CORPORATE FINANCE UDSM
Alafu mtu una elimu ya kuunga unga unajilinganisha na mimi. Uzi huu nimeuleta makusudi kutrick point fulani ambayo vyuo vingi vinagawa marks za free. Hatimaye tunazalisha wasio competent kazini
Nathan JR