Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

Nina kila sababu ya kuheshimu wazo lako na sina data za kutosha kukupinga maana sijafanya utafiti huo, ila pengne nisaidie kidogo katika hili

1. Asilimia 85 ya walimu wanaofundisha UDOM ni wahitimu wa UDSM

2. Wakaguzi wa mitihani wanayofanya wanafunzi wa UDOM kutoka nje ni kutoka UDSM

3. Wasimamizi wa Chuo kwa maana ya uongozi wa chuo 95% ni wahitimu wa UDSM

Swali kwanini wahitimu hawa kutoka Chuo bora ambao ndio college mate wenzio ndo mazao yawe ovyo? Je tafsiri yake na wewe huduma unayotoa huko ni mbovu?

Ningeshawishika kukubali kama tu ungeonesha wahtim ndiyo wabovu pamoja na kutoka GPA ndogo lakini tuhuma yako ni walimu hawa kutoa GPA kubwa.
Labda majengo mazuri ndio maana kinaitwa chuo cha kata si unajua watz hawakosi sababu
 
Inaonekana UDOM ipo vizuri sana kwa maoni ya wadau wengi humu ingawaje sijasoma pale.
 
vyuo vya kwetu
1-prof anacho kiamini wote tuamini
2-chalenji ya mwanafunzi na prof utakula ban kama JF kuoji sana
3-wanawake chuo watoboa kwa maprof maana kipindi cha toto kili wapita
4-ukiwa mjuaji chuo subiri disco la maisha
5-prof wanaendeshwa na vyama unaweza kukuta ni ccm alafu wewe ni mwana fulani
6-ma prof asilimia kubwa wanaona wameweza wewe chipukizi ujui wakati unaweza kuwa mchango au kuwa sehemu ya kukusogeza

hipo afrika
ukitaka kujua kwa nini wataalamu wanamalizia nje za nchi sio kwao tena tz
Mbona umeandika kama mshamba 'flani'?
 
Hujui UDOM wewe yaani vimitihani wanavyotoa hata mtoto mdogo anajibu ni mitihani lege lege, ukitaka iundwe Bodi ya Mitihani ya Vyuo Vikuu na mtihani wapige mmoja na UDSM, IFM, IRDP au SUA utaona maajabu,
Binafsi nimesoma Mechanical Engineering, Nilikuwa na Jamaa wanasoma UDSM nikawa nawaomba mitihani yao ili nione concept zao katika kujiongezea maarifa. Kiukweli nilikuwa nasoma hivi vyuo vya Institute lakini hata siku moja hatukuwahi kupewa mitihani rahisi namna ile. Mihitani ya UDSM watu wanawekewa mpaka matching items, Engineeeing drawing mtu anawekewa Selections badala aachwe achore mwenyewe. Tangu hapo huwa sipimi uelewa wa mtu kwa kigezo amesoma chuo gani naangalia tu ana uwezo gani.
 
Binafsi nimesoma Mechanical Engineering, Nilikuwa na Jamaa wanasoma UDSM nikawa nawaomba mitihani yao ili nione concept zao katika kujiongezea maarifa. Kiukweli nilikuwa nasoma hivi vyuo vya Institute lakini hata siku moja hatukuwahi kupewa mitihani rahisi namna ile. Mihitani ya UDSM watu wanawekewa mpaka matching items, Engineeeing drawing mtu anawekewa Selections badala aachwe achore mwenyewe. Tangu hapo huwa sipimi uelewa wa mtu kwa kigezo amesoma chuo gani naangalia tu ana uwezo gani.
Unajua elemu ya utahini.
Unamfahamu Broom na theory ya Broom taxonomy ? Kwdli wewe umegraduate UDOM.
 
kumbe wewe u

Kumbe wewe umehudhuria mahafali na sio masomo? Ulizia kwanza selection za masomo wanaanza first class wachaguliwa kwenda Chuo gani? UDOM hawapo labda Education kama Chang'ombe (DUCE)
Kuna maajabu yalitokea eti form 4 wakaenda UDOM badala ya TTC kama sio Mh Ndalichako na Rais wetu tulishaharibikiwa na mfumo wa elimu
Unafikiri vyuo vikuu ni kwa ajili ya degree holder na Masters tu??? Kuna vyeti na diploma mwanajf!! Fuatilia hata Udsm hakuna form four?? Tena wenye point 29!!!!

Wanasema wewe kama unataka uone ingia field na sio kusimuliwa
 
Unajua elemu ya utahini.
Unamfahamu Broom na theory ya Broom taxonomy ? Kwdli wewe umegraduate UDOM.
We kweli kijana wa hovyo, umekariri theory uonekane mjuvi wa mambo. Nimeshasema mimi ni Mechanical Engineer afu unaniambia eti nimesoma UDOM, hujui hata kozi zilizopo UDOM. unawezaje sasa kujadili suala kama hili. Kijana Hiyo kozi haipo UDOM na kama wameianza basi hawajatoa graduates bado. Mimi nimesoma enzi elimu na siasa hawajawa marafiki, NOT E THAT.
 
We soma popote pata chochote ukishindwa kugeuza elimu yako kuwa kipato elimu yako haina maana.

FIRST CLASS IN PAPERS BILA KUWA NA MAISHA FIRST CLASS NI ZERO. WAAMBIENI WATOTO WENU HILI.
 
Hujui UDOM wewe yaani vimitihani wanavyotoa hata mtoto mdogo anajibu ni mitihani lege lege, ukitaka iundwe Bodi ya Mitihani ya Vyuo Vikuu na mtihani wapige mmoja na UDSM, IFM, IRDP au SUA utaona maajabu,

Sio kweli, tuliosoma udom na udsm ni mashahidi wa hili, tena udsm ndo mtelezo
 
We kweli kijana wa hovyo, umekariri theory uonekane mjuvi wa mambo. Nimeshasema mimi ni Mechanical Engineer afu unaniambia eti nimesoma UDOM, hujui hata kozi zilizopo UDOM. unawezaje sasa kujadili suala kama hili. Kijana Hiyo kozi haipo UDOM na kama wameianza basi hawajatoa graduates bado. Mimi nimesoma enzi elimu na siasa hawajawa marafiki, NOT E THAT.
Kama umesoma vyuo vyote viwili nitakusikiliza vinginevyo huwezi kulinganisha mambo ambayo hata wewe huna uhakika nayo
 
Kama umesoma vyuo vyote viwili nitakusikiliza vinginevyo huwezi kulinganisha mambo ambayo hata wewe huna uhakika nayo
Mkuu hapa hatubishani tunajuzana. Nakubali UDSM na UDOM ni vyuo vikubwa hapa Tanzania, Hiyo haina maana kila anaesoma hapo basi ni mjuzi wa mambo, ndio maana kuna disco pia. Nimesoma Institute na mtu aliyepata division 1.12 o level na advance akapata 1.6 lakini aliomba electrical UD na akaachwa, so usiamini kila unachosikia.
 
Back
Top Bottom