Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Labda majengo mazuri ndio maana kinaitwa chuo cha kata si unajua watz hawakosi sababuNina kila sababu ya kuheshimu wazo lako na sina data za kutosha kukupinga maana sijafanya utafiti huo, ila pengne nisaidie kidogo katika hili
1. Asilimia 85 ya walimu wanaofundisha UDOM ni wahitimu wa UDSM
2. Wakaguzi wa mitihani wanayofanya wanafunzi wa UDOM kutoka nje ni kutoka UDSM
3. Wasimamizi wa Chuo kwa maana ya uongozi wa chuo 95% ni wahitimu wa UDSM
Swali kwanini wahitimu hawa kutoka Chuo bora ambao ndio college mate wenzio ndo mazao yawe ovyo? Je tafsiri yake na wewe huduma unayotoa huko ni mbovu?
Ningeshawishika kukubali kama tu ungeonesha wahtim ndiyo wabovu pamoja na kutoka GPA ndogo lakini tuhuma yako ni walimu hawa kutoa GPA kubwa.