Taratibu za kuappeal zipo au hazipo? Na je utaratibu ukoje? Mimi nina experience ya tofauti sana katika hili. Labda kama mwanafunzi mwenyewe awe hafahamu taratibu hiiWalimu wote Wana kasumba ya kufanana aisee high marks hutolewa kwa wachache kwa kujuana. So wengi hutoa b plain na makarai kwa wingi walah