KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wanajamii hakuna kitu kinadumisha mapenzi kama ukiwa na mwenzi wako na mnaaminiana na pale unapomhitaji unampata!na akiwa kwenye shughuli zake kakuacha nyuma kakuacha na simu yake!Mpaka unahisi wewe ndo mwenye dunia!isitoshe unambiwa vipi utanipitia kazini?ni ishara tosha mapenzi yanakuwa yamemea!je wewe nimiongoni kati ya watu ambao mnaendesha mapenzi kwa stayle hii?Sema hisia zako je?