nafurahi kuwa kuw watu wanajua hili. Halafu na nyie wanawake mnaolialia kutendwa na wapenzi wenu isomeni hiyo quote kimya kimya na muifanyie kazi.
Wanawake hoyeeee
oyeeeeeeeeeh
nafurahi kuwa kuw watu wanajua hili. Halafu na nyie wanawake mnaolialia kutendwa na wapenzi wenu isomeni hiyo quote kimya kimya na muifanyie kazi.
Wanawake hoyeeee
Jamani nieleweni simaanishi kunipa simu nayeye kubaki bila simu namaanisha alipoiweka hana papara nayo siyo kama wewe hata maliwatoni unayo!usipoiona sekunde una hahaa!yeye hana hizo!!ila mimi yakwangu simuachii na ina password strong siyo weak!!!haya ni mapenzi ya kisekondary na Kiprimary ....
kuachiwa simu SIO kigezo cha kuamini unapendwa . ...
nimeipenda sana. A BIG LIKEAfter all was in place, God created MAN. Then RESTED.
Then God created WOMAN.
Since then NO ONE HAS RESTED!