pls nt shimpumu it is CHIMPUMU
Usisahau na mbandule mkuru.Lubisi ni banana wine safi sana
Kwa wale wazee wenzangu tuliokulia kijijini,vitu vya kienyej tumepitia. Sasa we unahis kipi cha ukwel? Mie japo sio mhehe ila jamani 'ULANZI' mtamu. Yan kila unapopiga funda utamu unaongezeka huku na wewe unalewa taratiiibu!
Lubisi lukiwa distirled 2napata Enkonyagi ambayo ni bomba kuliko hata ile yenye ki m2 kilicho nyanyua mikona juu!nilidhani Lubisi noi gongo, kumbe banana wine
Gongo...
kwa wale wanaojua, uwulasi wunono, ulanzi ndo the best,
jamani ninyi watu mbege mmeiacha wapi??? Hakuna mfano wa pombe safi ya kienyeji kama mbege,,,,nenda moshi au njoo arusha uulize.. Kila siku toyota stout za kina mzee massawe na uriyo zinatoka uko kibosho, oldmoshi na machame kuleta mbege arusha
hasa la NAMANYERE:lol::lol::lol:
Ugimbi usisile che2,acha kabisa hasa mtogwa kabla haujawa mkangafu, bee bee, ugimbi ilikwii.