Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Hahahaha zenji had dar kisa pombe dah!nakuwazia sipati picha...mm pombe kwasasa big no nainywa kwa nadra mnoo....nataman niache tu nitafte starehe nyingine! Nataman kuwa na mziki mziiito kwa walau niwe nakula vibes tu
From Zanzibar to Dar kwa ajili ya tungi tu! Dear Gambe!
Nakunywaga wastani saana na isitoshe ndio starehe yangu kubwa.
 
Grants sigusi tena mdomoni, Siku moja nilipiga grants kwa Fujo nilikuwa mgeni nayo tena mchana jua linawaka aisee ile kufika saa moja jioni hata kuinua mguu siwezi kuna demu alikuwa ananiokoa sana nkamcheki haraka kisha nkalalia ile meza tulikuwa watatu pale wenzangu pia wako vyombo, Demu alifika haraka na kuita uber mpaka geto aisee nilikuwa napiga kelele kama mbuzi ndani hapakaliki nkamuambia nitoe nje na nimwagie maji alifanya ivo then nkarudi Bafuni na kufungulia bomba la mvua kama lisaa ivi ndo nkapata relief, Hangover yake ilinitesa wiki nzima toka apo Grants naingalia kwa mbali mi ni mpenzi wa pombe kali ila Grants imenigomea aisee
Haha. Nahisi huyo demu alicheka sana matukio yako.hasa hiyo ya kupiga kelele kama mbuzi
 
Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
Desperados tamu ila sizidishi 4

Serengeti lite mwisho ziwe 2, afu iwe ya baridi. Ya moto chungu sana then inaumiza tumbo yale mapovu
 
Mimi vinywaji vyote ntagusa..ila hata kugusa chupa tu nasisimka ni Dompo jamani...kuna mwwaka valentine tukabebana asbh na shogangu tukaanza kunywa dompo .inafika saa12 tuna dompo 3 kichwanj..mpk leo huwa nataman kuuliza nilifikaje naona aibu🤣...nilitapika balaa na me sinaga kawaida ya kuvomit hata iweje nimemix mambo . Asbh koo limekauka kbs .since 2017 sijagusa dompo hata kugusa chupa sitak
Dompo mix na ice weuweeee 🔥🔥🔥 ule utamu si mchezo. Ila isikuzidie tu
 
Kama miaka sita nyuma nilikata nyagi vile visichana vya kutosha kuna dada nilimwita kutoka tabata mpaka lachaaz nilienda kujisaidia mara nikazima chooni bahati nzuri nilijifungia ndani,

Nyingine ni smirnoff bhn pale Meridian club masai hii ilinifanya nikatapika kitandani hii nimepiga chini

K vant ishawai kunifanya nimtapikie mwanamke wakati tunatiana nimeipiga chini nayo

Kuna siku nilikunywa Guinness nikapiga jermston sijui kama sawa nikapiga vodka pale boardroom hahaha niliamka na hang over ya hatari japo japo nilitapika kidogo

Kitu nilichonote pombe haitaki joto aisee ukinywa pombe hasa hizi whyskey, vodka na spirit make sure kuwa unakaa sehemu yenye baridi inasaidia kutokutapika now napiga beers tu sana sana natumia serengeti lager now
Mara nyingine utarudisha chenji kama umekula pilao na vyakula vilivyokaangwa na mafuta mengi. Ili usirudishe chenji wakati mwingine kula mchemsho wa ndizi aù supu nyeupe .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom