LaRosa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2020
- 952
- 2,876
From Zanzibar to Dar kwa ajili ya tungi tu! Dear Gambe!Hahahaha zenji had dar kisa pombe dah!nakuwazia sipati picha...mm pombe kwasasa big no nainywa kwa nadra mnoo....nataman niache tu nitafte starehe nyingine! Nataman kuwa na mziki mziiito kwa walau niwe nakula vibes tu
Nakunywaga wastani saana na isitoshe ndio starehe yangu kubwa.