mishamusic2
Member
- Feb 4, 2021
- 51
- 43
Elezea kisa kilichokukuta mpaka ukasema hutakuja kuigusa pombe ya aina fulani
Kingfisher, scheni tu ilinifanya mbaya, hii niligida fasterfaster bila kuabgalia nguvu yake, kuna dada alitupa ofer kwenye bouta chuoni india, kwamba boat inaondoka na kila aliyemo atakunywa tani yake hadi turudi nchi kavu, kwa bill yake, tulikuwa kama mtu 30 hivi, nikapiga kama 6 hivi, kufika nchi kavu mm naona bling bling, tour ikaharibikia hapo nlirudisha chenj kama zote, ikabidi nilale kwenye bus hadi walivomaliza tukarudi hotelElezea kisa kilichokukuta mpaka ukasema hutakuja kuigusa pombe ya aina fulani
Hapo kosa sio la Amarula ila ni hiyo uliyochanganya ndo ilikuzidi, umeionea Amarula bureeeeeee.Kuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.
Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoniStory haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari
Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Amarula.si inalegeza miguuHapo kosa sio la Amarula ila ni hiyo uliyochanganya ndo ilikuzidi, umeionea Amarula bureeeeeee.
Inategemea ntu na ntu.Amarula.si inalegeza miguu
Bingwa ilikuwa ni noma ,watu walikata moto sana.Sijawahi kuinywa ila stori zake zinafanya nisiisahau mpaka leo. bia bingwa
Hukujinyea kweli wewe😂😂🤣🤣Kuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.
Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoniStory haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari
Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Not to that extentHukujinyea kweli wewe
Noma MzeeNilikunywa mzinga wa vant nikashushia maji lita kilichotokea siwezi sahau
Mixer ya maji na k-vant weka mbali na watoto
Kipindi hicho habari zilikuwa zinatolewa magazetini, nafikiri kati ya bidhaa zinazozalishwa kuzimu na ile ni mojawapo maana ilikuwa inaaibisha na kufedhehesha utu wa mtu kabisa.Sijawahi kuinywa ila stori zake zinafanya nisiisahau mpaka leo. bia bingwa
Pombe ndiyo ilivyo, unaichukia unasema sitaki Tena halafu baada ya siku kadhaa unaifuata mwenyewe!hizo kashi kashi mm nakutana nazo daily, ila pombe ukizidisha sana inaleta karaha na siyo raha tena.
muda huu nilipo hapa nna hangover ya hatari.. naichukia sa hivi ila badae nainywa tena, maajabu haya