pepim JF-Expert Member Aug 1, 2011 335 51 Sep 3, 2015 #1 Naomba kujuzwa maana ya usemi , SOTEA GOMBA. Karibu kwa majadiliano
K Kifyatu JF-Expert Member Oct 12, 2010 3,382 3,196 Sep 20, 2015 #3 pepim said: Naomba kujuzwa maana ya usemi , SOTEA GOMBA. Karibu kwa majadiliano Click to expand... SOTEA = kusota au kujipangusa baada ya haja kubwa. GOMBA = mgomba au mdizi. Majani au sehemu ya mti wake. Maana: Kwa sababu sehemu yoyote ile mbichi ya mGOMBA huteleza, ukiitumia kusotea hutaweza kuuondoa uchafu (kinyesi). AU, Mbinu au njia unayoitumia kutatulia tatizo lako haifai.
pepim said: Naomba kujuzwa maana ya usemi , SOTEA GOMBA. Karibu kwa majadiliano Click to expand... SOTEA = kusota au kujipangusa baada ya haja kubwa. GOMBA = mgomba au mdizi. Majani au sehemu ya mti wake. Maana: Kwa sababu sehemu yoyote ile mbichi ya mGOMBA huteleza, ukiitumia kusotea hutaweza kuuondoa uchafu (kinyesi). AU, Mbinu au njia unayoitumia kutatulia tatizo lako haifai.
pepim JF-Expert Member Aug 1, 2011 335 51 Oct 20, 2015 Thread starter #4 Vizuri sana Kifyatu...... Umetisha hilo Ndio jibu sahihi