Ni nini maana ya usemi huu?

Ni nini maana ya usemi huu?

pepim

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
335
Reaction score
52
Naomba kujuzwa maana ya usemi , SOTEA GOMBA. Karibu kwa majadiliano
 
Naomba kujuzwa maana ya usemi , SOTEA GOMBA. Karibu kwa majadiliano

SOTEA = kusota au kujipangusa baada ya haja kubwa.
GOMBA = mgomba au mdizi. Majani au sehemu ya mti wake.

Maana:
  1. Kwa sababu sehemu yoyote ile mbichi ya mGOMBA huteleza, ukiitumia kusotea hutaweza kuuondoa uchafu (kinyesi). AU,
  2. Mbinu au njia unayoitumia kutatulia tatizo lako haifai.
 
Vizuri sana Kifyatu...... Umetisha hilo Ndio jibu sahihi
 
Back
Top Bottom