Ni nini maana ya usemi huu?

pepim

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
335
51
Naomba kujuzwa maana ya usemi , SOTEA GOMBA. Karibu kwa majadiliano
 
Naomba kujuzwa maana ya usemi , SOTEA GOMBA. Karibu kwa majadiliano

SOTEA = kusota au kujipangusa baada ya haja kubwa.
GOMBA = mgomba au mdizi. Majani au sehemu ya mti wake.

Maana:
  1. Kwa sababu sehemu yoyote ile mbichi ya mGOMBA huteleza, ukiitumia kusotea hutaweza kuuondoa uchafu (kinyesi). AU,
  2. Mbinu au njia unayoitumia kutatulia tatizo lako haifai.
 
Back
Top Bottom