Ni nini kisababishacho utaalamu wa kitandani?

Ni nini kisababishacho utaalamu wa kitandani?

Mzingo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
4,766
Reaction score
10,611
Inaelezwa kuwa moja ya sababu inayopelekea nchi za wenzetu kuwa juu kimpira ni kutokana na wao kuwa na academy zinazowafundisha watoto mpira tangu wakiwa na umri mdogo.

Turudi kwenye mada,

Katika uzoefu wangu wa kupiga story na masela, nimekuja kukuta.

1) Kama akiwa anajielezea kuwa yeye ni mtaalam kitandani,mara nyingi unakuta ameanza mapenzi akiwa mdogo,mf primary(hakusubiri ndoto nyevu,goli la kwanza papuchini).

2)Akiwa anamsifia msichana fulani kuwa huyo msichana huyo ni mtaalam kitandani basi ukifuatilia huyo msichana unakuta ameyaanza mapema.

Maswali yangu ni

1) Hivi inawezekana kwa msichana anayeolewa(au mvulana anayeoa) akiwa na 26+ huku ni bikira au hana uzoefu wa mikiki mikiki na bado akaja kuwa na utaalam? Maana unaweza kuwa unamlaum mtu ni mchovu ktandani kumbe ni automatically unamlaumu kuchelewa kwake kuyaanza


2) Huo utaalam unaojidai nao au ushallow wako unaojilaumu nao una uhusiano wowote na muda ulioanza kufanya matusi?


KWA UFUPI NI : JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA UTAALAM WA MTU NA MUDA ALIOYAANZA?

TAFADHALI,UNAPOTOA MAONI ANZA NA STATUS YAKO(Shallow,Kawaida,Mbabe au Hujawahi)
Kisha useme umeanza ukiwa na umri gani.
 
I think being good/ great in the sack is so subjective and relative.

'@Nyani Ngabu Kwamba Tanzania tujipe moyo kuwa tuko vizuri kisoka kwa vile tumelinganishwa na Somalia?

Hapa nazungumzia mtu kuwa vizuri kuliko wengi. Kwamba watu wengi wamemtolea maoni kuwa yeye yuko vyema(compared to many)
 
To some, sex is art. To some, it's just another activity they only take part in, cuz they have to. An artist will obviously, do it with passion. The other, eeeh!


So basically, it's all about perception. I think.

Very true!!! Mapenzi ni sanaa na kama you have it you have it haiwez change....
Wapo wanaoforce na still hawaoni mabadiliko....
Me i have a friend ambaye yuko in her late 30's lakin she keep complaining kuwa hajawahi kuenjoy sex zaid ya kuumia tu....
Mind you kashakuwa na different types of men.....
So now anafanya just kumplease mtu aliyenae lakin yeye hana anachofaid.....
 
sex is an art.
Ukikutana na Swalehe hata kama kaanza na miaka 30 tofauti kabisa na Jerome.
 
Inaelezwa kuwa moja ya sababu inayopelekea nchi za wenzetu kuwa juu kimpira ni kutokana na wao kuwa na academy zinazowafundisha watoto mpira tangu wakiwa na umri mdogo.

Turudi kwenye mada,

Katika uzoefu wangu wa kupiga story na masela,nimekuja kukuta

1)kama akiwa anajielezea kuwa yeye ni mtaalam kitandani,mara nyingi unakuta ameanza mapenzi akiwa mdogo,mf primary(hakusubiri ndoto nyevu,goli la kwanza papuchini)

2)Akiwa anamsifia msichana fulani kuwa huyo msichana huyo ni mtaalam kitandani basi ukifuatilia huyo msichana unakuta ameyaanza mapema.

Maswali yangu ni
1)Hivi inawezekana kwa msichana anayeolewa(au mvulana anayeoa) akiwa na 26+ huku ni bikira au hana uzoefu wa mikiki mikiki na bado akaja kuwa na utaalam? Maana unaweza kuwa unamlaum mtu ni mchovu ktandani kumbe ni automatically unamlaumu kuchelewa kwake kuyaanza


2) Huo utaalam unaojidai nao au ushallow wako unaojilaumu nao una uhusiano wowote na muda ulioanza kufanya matusi?


KWA UFUPI NI : JE,KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA UTAALAM WA MTU NA MUDA ALIOYAANZA?

Aint relatin....ujuz dakik 0 kk....hat ka ulianz 10 yrs ago n huna ndim ya kuchezea ndan ya box...ndo bs tena
 
Wengine wamezaliwa wanajua tu.
Na wapo tayari kwenda extra mile kujifunza.
 
Back
Top Bottom