Ni nini kisababishacho utaalamu wa kitandani?

Ni nini kisababishacho utaalamu wa kitandani?

Ni nini kisababishacho utaalamu wa kitandani? = inategemea....... kuna wale wanaojua kulengeeshea penye mutau mautaalamu yanajitokeza tuuuu
 
Mzingo, una wasiwasi kwa kuwa wewe umechelewa?!
Hii makitu ni kama vile mtoto anavyozaliwa.., kwani nani anayemfundisha kunyonya ziwa la mama yake?!!

Usijali utakapoanza mambo yatajiseti na kama ni mjanja basi utajiongezea kwa mautundu ya hapa na pale!
 
Last edited by a moderator:
Mzingo, una wasiwasi kwa kuwa wewe umechelewa?!
Hii makitu ni kama vile mtoto anavyozaliwa.., kwani nani anayemfundisha kunyonya ziwa la mama yake?!!

Usijali utakapoanza mambo yatajiseti na kama ni mjanja basi utajiongezea kwa mautundu ya hapa na pale!

Naogopa kuja kuaibika ndoani,kama una uwezo wa kufundisha (na practical) sema nitalipia hili pindi la tuition...... kidding
 
utaalamu unaendana NA uzoefu, binti akiwa mtaalamu kwa kitanda jua kuna watu walimpa Elimu hiyo am a kwa vitendo au kwa nadharia.
 
Inabid lazma uwe umesha fanya xana..coz experience inahitajika kwenye kupafom kitu..alaf pia inategemea na utundu wako ktandani ukimwonea haya demu lazima utabolonga tu.
 
Kuwa bora kwenye kitu chochote ni utayari wako wewe kuweza kujifunza zaidi ya pale au kile unachokijua na ukakifanyia majaribu mara nyingi.
 
Yaweza kuwa mkombozi wako kama una moyo wa dhati kufanikiwa
Click hii link hapa chini
Job4Living.com Earn 5$-10$ per 30 seconds tasks, Earn 1000$ monthly - Online Job for jobless people
 
utaalam unaletwa na hamasa kwa mtu ulienae moja usafi wa mwanaume unafanya mwanamke uwe huru kwa mumeo pili ni nidhamu ya mwanaume kuna wanaume wanatabia za primary za kuropoka mambo ya chumbani mtu unajikuta mzuka unaisha unafanya tuuu bora liende na tatu faida unayoipata kutoka kwa mwanaume aidha upendo wa kwel, kujali, zawadi fedha vinampa mtu hamasa lakini mtu unajua kabisa upo after sex kisa cha kujichosha ni nin binafsi nikiona mtu hasomeki nakaa tu nangalia cjishughlish
 
utaalam unaletwa na hamasa kwa mtu ulienae moja usafi wa mwanaume unafanya mwanamke uwe huru kwa mumeo pili ni nidhamu ya mwanaume kuna wanaume wanatabia za primary za kuropoka mambo ya chumbani mtu unajikuta mzuka unaisha unafanya tuuu bora liende na tatu faida unayoipata kutoka kwa mwanaume aidha upendo wa kwel, kujali, zawadi fedha vinampa mtu hamasa lakini mtu unajua kabisa upo after sex kisa cha kujichosha ni nin binafsi nikiona mtu hasomeki nakaa tu nangalia cjishughlish

Aiiseeeee we nomaaaaa
 
Kwa wabongo bado sana kwenye dunia ya kabumbu.sijui labda dunia ya maravidavi na kuna tetesi kwamba kile kizazi cha miguvu ya asili kimeshapita sasa kuna kizazi cha kubusti wana tumia midawa ya nguvu za kiume enzi za nyerere zilikuwepo
 
Back
Top Bottom