Ni nini kimeiangamiza shoprite. ?

Ni nini kimeiangamiza shoprite. ?

Hakuna mtanzania anaeweza kuiendesha hii?? Hawa wakenya hawa?
 
Labda kama hujui shoprite ni kampuni yenye shareholders wengi south africa na kimsingi wapo weusi shareholders akiwemo msouth africa anaitwa Maponya(Tembo kwa kiswahili) ila kimsingi kuna mtikisiko kwenye utendaji wa kampuni na hasa tangu kuanzia july 2013. Walielekeza shares kwwnye uwekezaji eneo jingine halijaperfom vyema
 
Vilevile nasikia bidhaa nyingi zilizokuwa zinakaribia kuexpire ndo walikuwa wanaziingiza sana nchini baada ya TRA&TBS/TfDA kushtuka, waliharibu sana mizigo yao na kuirudisha, nackia walitufanya km ndo dumping place!
 
Wabongo mnatarii sana shoprite baada ya kununua bidhaa hadi zinaexpire,. No profit,. what next?? kusepa tu,.
 
Hakuna mtanzania anaeweza kuiendesha hii?? Hawa wakenya hawa?

Sisi tulifunga maduka ya Supermarket yoote badala yake tukaanzisha 'maduka ya ushirika' !
Yalipotushinda, yakaibuka maduka ya Warombo na Wapemba !........bahati mbaya hawakuweza kukuwa.
Nakumatt ilianza kama Duka dogo la familia !
 
hata nakumat watakimbia, watz watasusa bidhaa zao kwa sababu huuza kwa bei ya ghali
 
Sisi tulifunga maduka ya Supermarket yoote badala yake tukaanzisha 'maduka ya ushirika' !
Yalipotushinda, yakaibuka maduka ya Warombo na Wapemba !........bahati mbaya hawakuweza kukuwa.
Nakumatt ilianza kama Duka dogo la familia !

Ila maduka ya kienyeji mara nyingi yanakuwa kidogo halafu yanakufa
 
na hao wanaofanya hivyo ..wanaoata faida gani ..kama kitu cha bei kubwa kinauzwa kwa bei rahisi ...faida ya wao kufanya hivyo ni nini ..

mm nilidhani bei ndogo ingekua bei kubwa .. sasa kwa kupunguza prise wao wanafaidika nn .

Mfano, risiti itasoma shilingi 2,400 wakati kiuhalisia ilitakiwa kuwa shs 24,000. Cashier na mnunuzi wana-bargain kuwa labda mnunuzi atoe shs 15,000....albaki ya shs 9,000 inabaki kwa cashier....Supermarket nyingi sana zinaibiwa kwa mtindo huu...
 
Kama Arusha ndio basi tena,
hakuna supermarket ya maana japo ni mji wa kitalii.
 
Hapo umenena ni bora kuwa na doubt kuliko kuandika unachowaza kichwani tu.
Inavyosemekana ni kuwa, kwa wengi wanaojua bidhaa za supermarket zote zina barcode ambazo ukifika counter unalipa kwa kupitisha kwenye mashine kwa hiyo kilichokuwa kinafanyika ni wafanyakazi walikuwa wanafanya as a team wanaoweka label za bei mpaka wanaonunua (team) na alieko counter wanachofanya ni waweka label wanabandika bei ya mkate kwenye nyama as much as they can na hapo anakuja mteja na kubeba nyama nyingi kwa bei ya mkate kama utanielewa hapo, at the end of the day itaonekana mauzo ni mengi lakini profit hamna ndio maana wakaona hakuna njia ila kufunga tu

Nakupinga, sikubaliani na wewe hata kidogo. Ile barcode ikishasomwa na machine zinakuja description ya hiyo bidhaa na inakuwa printed umenunua mkate (including production date, expiry date, batch no. Size/weight, quantity etc.) Sasa kama wanaweka label ya mkate kwenye nyama kwa nini ile receipt isisome umenunua mkate badala ya nyama?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nakupinga, sikubaliani na wewe hata kidogo. Ile barcode ikishasomwa na machine zinakuja description ya hiyo bidhaa na inakuwa printed umenunua mkate (including production date, expiry date, batch no. Size/weight, quantity etc.) Sasa kama wanaweka label ya mkate kwenye nyama kwa nini ile receipt isisome umenunua mkate badala ya nyama?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

A bit complicated isn't it
ukisoma vizuri utaelewa wanaoiba ni team nzima ambayo inawahusu anaeweka code, anaeweka kwenye shelf, anaenunua na aliekaa kwenye till, wote hao wanajuana na sio mmnunuzi mwingine. Anaweza hata akawa ameweka pembeni mzigo uliochakachuliwa na team mate anapokuja anatolewa
 
Kwanza hiyo hata ikifirisika sisi walala hoi haituhusu, ungeniambia magenge yanafirisika hapo ndo ningeumia sana...
 
Back
Top Bottom