William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #61
Mwanzo sikujua kwanini Lowassa anapata watu wengi kupita kiasi kwenye mikutano yake, Mimi sio mwansiasa lkn nijuavo Lowassa hakuwa na mapenzi ya Watz kiasi hiki tujiulize kitu gani kiko nyuma ya pazia?
Nimeshuhudia maajabu makubwa kwenye Mkutano uliofanyika Pemba Wa Lowassa ulikua si Wa kawaida .
Hapa naaza kuvuta hisia zaidi niliyoyaona nikiyaweka hapa tunaweza pakazua mabishano tusifikie huuko kwa kuwa kila MTU na funny take hata ukisema itakuwa ni kama unampigia mbuzi kitaa is too late
- Una maana tunawapeleka Lowassa na Gwajima Ikulu kwenda kufufua waliokufa kama Balali na Amina Chifupa, pole sana mkuu upo Dunia gani? hahahaha
le Mutuz