Ni Nini Hasa Mwanamke Anahitaji?

Very interesting . . . . kumbe Mwanaume anaweza akatoa vyote hivi lakini bado Mwanamke asitosheke? . . . . Amazing!

 
Very interesting . . . . kumbe Mwanaume anaweza akatoa vyote hivi lakini bado Mwanamke asitosheke? . . . . Amazing!
Mwanamke anakua amepewa "vyote" kwa vigezo vya nani?! Inawezekana mwanaume akatoa "vyote" anavyojua/weza yeye ila isiwe vyote anavyotaka/hitaji mwanamke!
 
"women always want opposite of what they possess". THREAD CLOSED.
 
Mpaka mtaalamu ambae ni mtaalamu kweli atoe konklusheni!
hivi kweli haukubaliani na konklushen yangu au uko kijinsia zaidi tu?, hii sredi ilikuwa tayari imepata heshima ya kuwa klosed na klorokwini
 
hivi kweli haukubaliani na konklushen yangu au uko kijinsia zaidi tu?, hii sredi ilikuwa tayari imepata heshima ya kuwa klosed na klorokwini
Sikubali kwasababu unajaribu kupotosha umma!Mbona mimi nataka nilicho nacho?
 
Hehehe....ntakwambia ikiwa tu utabadilisha konklusheni yako!
unajua hiyo konklushen ilitolewa UN kikao cha zarura mwaka 2008, tena ilitolewa na mdada kabsa yaani. sasa wewe unapingana na UN? huyo gadaffi wenyewe anakubali UN rezolushen. eniwei nalog out. mida za kujilusha. DJ kishoka yupo kitaa leo acha tukasweat kidogo tu kill bakteria.
 
Huyu mwanamke ana pepo si wa kawaida. Or either hampendi mumewe hata kidogo.
 
Oooops hii ni mitihani ya maisha ,hili zito nitakuja baadae na mchango wangu lakini kwa kifupi Kinguru hafugiki,Na je upande wa chumba cha mawasiliano 6 x 6 mme anajiweza ?
bado natafakari
Hata mimi mashaka yangu yapo hapo kwenye nyekundu Dada angu kama kilakitu kipo poa nini shida sasa?

Maana inaweza kua hakuna kipya ambacho hajawahikuona au kupata so inapotokea vitu au safari ndio vitumike kumfanya vim malizie hitaji lake la msingi aaaaghhhhrrrrrrr!!! its not fea bana,ninachokiona .

Jamaa kama hayuko b'ze na issue zake basi uwezo wake kwa BED sio wa kiwango stahiki ,kwa sababu hata kama anamapepo ya ngono hainiingii akilini kweli mrembo nimpelekee faru ya kufa mtu an' at same time am call m2 mwingine ?na nikigundua cpigi nae kelele nikumkandamiza tu sichomoki hapo hadi nione anakimbia na ch***p mkononi na cta mwachia hadi nione amezimia pum**b**vu zake.
Kama vp jamaa akubali tu kuonana na wataalamu wa afya wamsaidie kuweka mambo sawa.Mademu wanazimia sana mikandamizo ya ukweli sio wale wanao wagusagusa hata kama wanahela huwa inawagharimu sana aisee.
 
Oooops hii ni mitihani ya maisha ,hili zito nitakuja baadae na mchango wangu lakini kwa kifupi Kinguru hafugiki,Na je upande wa chumba cha mawasiliano 6 x 6 mme anajiweza ?
bado natafakari
Hapa kwenye red ai sapoti, unaweza kumpa kila kitu ila ukashindwa kumlidhisha kwenye 6 X 6 atatoka tu, nimeshawahi kumwona mwanamke aliye kataa kuishi na tajiri na akaenda kuolewa na maskini baada ya kumuuliza kwa nini kaamua kuolewa na maskini akajibu kuwa ameshawahi kulala na huyo tajiri zaidi ya sita lakini hakuwai kufanya nae mapenzi hata siku moja mpaka ilifika kipindi alimlazimisha tajiri alijibu amechoka. yule mwamke alisema kinachotengeza ndoa ni tendo ndoa la ukweli.
Mapenzi ya aina yote yanahitajika
 
Huyu mwanaume ana matatizo nimesoma Post yote nitakuja na comment zangu kama ifuatavyo:-
 
Kwa kifupi ni ngumu kujua binadamu anahitaji nini hasa kwa kuwa ameumbwa na tamaa isiyoridhika. Kila mtu anakuwa na agenda yake ya siri ndio maana mambo yanakuwa hayaendi kama mwingine anavyotarajia. Kitu chochote ukikipata unakuwa huhitaji tena kwa hiyo unaweka mikakati ya kutaka kingine na kuchoka kile ulichokuwa unatafuta zamani. Wanaofanikiwa katika hili ni wale wavumilivu tu na sio vinginevyo.
Ndio maana kila siku vitu vipya vinabuniwa ili watu waendelee kuvitamani na kuvifanya na hii ndio hali halisi ya dunia. Ila kama utahusisha dini basi unakuwa na uwoga fulani na inasaidia kufanya mambo yaliyo sahihi na inakusaidia kupunguza tamaa. Naomba niwasilishe hoja chambuzi kwa ujumla huu
 
Anahitaji tigo ya nguvu. Pia jaribu kumpa tofauti na maumbile natural like kugonga kwenye kitovu mpaka unakojoa
 
Jibu ni kuwa huyo mwana mama alikuwa haliwi tigo na mumewe ndo maana kawafata wanaojua kuila :focus::focus:
 
Alitakiwa yeye ndio anywe dawa ya babu ili atulize mzuka wa mkewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…