Ni big white elephantNingependa kujua ni nini mtazamo wa wengi humu kuhusu future ya LAPSET? Haswa ikizingatiwa nchi ambazo huu mradi ulitakiwa upite siko kwenye machafuko na hazitegemewi kuwa stable any time soon.
Lapsset yenyewe pia haijakamilika. Lapsset ni long-term project na itajengwa kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini. Gati tatu za Lamu port zimekamilika rasmi mwezi uliopita. Barabara ya lami kuelekea Ethiopia inajengwa sasa hivi. Sehemu kubwa ya barabara hii tayari ni lami. Ethiopia hawatapigana milele. Wakimaliza kupigana watapata Nyang'au wameshamaliza kujenga lami kutoka Lamu port hadi Ethiopia. Sisi tunawaza mbali yaani miaka nyingi zijazo, hatuwazi mambo ya sasa hivi. Inaitwa long-term planning.Ningependa kujua ni nini mtazamo wa wengi humu kuhusu future ya LAPSET? Haswa ikizingatiwa nchi ambazo huu mradi ulitakiwa upite siko kwenye machafuko na hazitegemewi kuwa stable any time soon.
You need in depth analysis of the big projects that you intend to carry out, especially when dealing with foreign loans. Unless the project has sufficient domestic peripheral uses, as implementing a project whose benefit depends upon political and economic stability in Ethiopia sounds ridiculous. Ethiopia is going through serious fracas, and assuming the same stop today, it may take 20 years to bring back Ethiopia to where it was before the war erupted.Lapsset yenyewe pia haijakamilika. Lapsset ni long-term project na itajengwa kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini. Gati tatu za Lamu port zimekamilika rasmi mwezi uliopita. Barabara ya lami kuelekea Ethiopia inajengwa sasa hivi. Sehemu kubwa ya barabara hii tayari ni lami. Ethiopia hawatapigana milele. Wakimaliza kupigana watapata Nyang'au wameshamaliza kujenga lami kutoka Lamu port hadi Ethiopia. Sisi tunawaza mbali yaani miaka nyingi zijazo, hatuwazi mambo ya sasa hivi. Inaitwa long-term planning.
Lapsset yenyewe pia haijakamilika. Lapsset ni long-term project na itajengwa kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini. Gati tatu za Lamu port zimekamilika rasmi mwezi uliopita. Barabara ya lami kuelekea Ethiopia inajengwa sasa hivi. Sehemu kubwa ya barabara hii tayari ni lami. Ethiopia hawatapigana milele. Wakimaliza kupigana watapata Nyang'au wameshamaliza kujenga lami kutoka Lamu port hadi Ethiopia. Sisi tunawaza mbali yaani miaka nyingi zijazo, hatuwazi mambo ya sasa hivi. Inaitwa long-term planning.
Umechanganyisha mafaili jombaa. Mradi wa LAPSSET haujafanikishwa kwa deni la mchina. Bandari ya Lamu imejengwa kwa hela zetu wenyewe(kama alivyopenda sana kusema yule mzee mwendazake).You need in depth analysis of the big projects that you intend to carry out, especially when dealing with foreign loans. Unless the project has sufficient domestic peripheral uses, as implementing a project whose benefit depends upon political and economic stability in Ethiopia sounds ridiculous. Ethiopia is going through serious fracas, and assuming the same stop today, it may take 20 years to bring back Ethiopia to where it was before the war erupted.
China's recent attachment of ports and other key infrastructures in situated in other countries is serious warning sign that we need prudent borrowing policy.View attachment 2026931
Kudual, Gwon ada! 😎 Nilikuwepo Juba na mji wa Malakal mwaka jana jombaa, wape salamu zangu pale maeneo ya Standard Bar. Wakikuuliza waambie ni mkenya fulani hivi waliempa jina la Guor(asiyejulikana kwa kidinka). 😄Ndivyo Mchina hufanya kazi, yeye huwa hahangaishi akili kuhusu vita vita vyenu au sijui demokrasia na vurugu zenu, anajenga kimya kimya.
Hawa Sudan Kusini tulifanya vizuri sana kuendelea kuwasklizia kwenye vita vyao mpaka walipotulia wakakuta tumejiandaa kufanya nao biashara, leo Kenya na Wakenya ndio wametamalaki huku yaani asikuambie mtu.
Eneo moja tu naona tulichelewa ni kwenye mahoteli, hoteli nyingi huku zinamilikiwa na Wahabeshi/Ethiopians, ni chache sana za Wakenya, ila mengine yote yanafanywa na Wakenya.
Naomba sana tukamilishe hiyo LAPSET mapema maana fursa ni nyingi sana, Kenya iwekeze pakubwa kwenye kanda ya Kaskazini, biashara itanoga sana miaka kumi ijayo.
Asante. Wewe umeelezea vizuri sana. Long-term planning ni kitu cha maana sana. Sio kufikiria tu hapa kwenye pua. Tufikirie pia na za siku zijazo.Hiyo LAPSSET ni long term project itakayobadilisha Kenya pakubwa. Kwanza sasa hivi ikitokea ajali kama ya Suez canal meli kuzama kwa channel Mombasa au hata dar ndiyo uchumi wa nchi zetu ushaanguka. Lamuport itakuwa inaweza kusaidia Mombasa na hata ukanda huku mzima kwa hali kama hiyo. Pili Meli kubwa (panamax) zisizoweza kuingia Mombasa kwa Sasa zitatua mzigo lamu ndiyo meli ndogo ziweze kupeleka bandari zingine katika ukanda huu ikiweko Mombasa. Kinachohitajika kwasasa kufaulisha bandari ya lamu ni gantry cranes (SSG) kufika Na barabara za kuunganusha Hadi nchi jirani kumalizika kwa wakati.
Hahahaha, Kenya now turns to South Sudan as major trading partner after Ethiopia's civil war.Ndivyo Mchina hufanya kazi, yeye huwa hahangaishi akili kuhusu vita vita vyenu au sijui demokrasia na vurugu zenu, anajenga kimya kimya.
Hawa Sudan Kusini tulifanya vizuri sana kuendelea kuwasklizia kwenye vita vyao mpaka walipotulia wakakuta tumejiandaa kufanya nao biashara, leo Kenya na Wakenya ndio wametamalaki huku yaani asikuambie mtu.
Eneo moja tu naona tulichelewa ni kwenye mahoteli, hoteli nyingi huku zinamilikiwa na Wahabeshi/Ethiopians, ni chache sana za Wakenya, ila mengine yote yanafanywa na Wakenya.
Naomba sana tukamilishe hiyo LAPSET mapema maana fursa ni nyingi sana, Kenya iwekeze pakubwa kwenye kanda ya Kaskazini, biashara itanoga sana miaka kumi ijayo.
Hahahaha, Kenya now turns to South Sudan as major trading partner after Ethiopia's civil war.Ndivyo Mchina hufanya kazi, yeye huwa hahangaishi akili kuhusu vita vita vyenu au sijui demokrasia na vurugu zenu, anajenga kimya kimya.
Hawa Sudan Kusini tulifanya vizuri sana kuendelea kuwasklizia kwenye vita vyao mpaka walipotulia wakakuta tumejiandaa kufanya nao biashara, leo Kenya na Wakenya ndio wametamalaki huku yaani asikuambie mtu.
Eneo moja tu naona tulichelewa ni kwenye mahoteli, hoteli nyingi huku zinamilikiwa na Wahabeshi/Ethiopians, ni chache sana za Wakenya, ila mengine yote yanafanywa na Wakenya.
Naomba sana tukamilishe hiyo LAPSET mapema maana fursa ni nyingi sana, Kenya iwekeze pakubwa kwenye kanda ya Kaskazini, biashara itanoga sana miaka kumi ijayo.
Kwanza hii barabara ya lami ambayo inapitia Turkana ikielekea South Sudan ikikamilika nadhani itawezesha Wakenya na Wasudani kusini kuweza kutangamana kwa urahisi kabisa, Kwa muda mrefu nilisikia habari kwamba Wakenya wengi wakitaka kuelekea South Sudan ilibidi wapitie Uganda kwa sababu barabara ya lami kati ya Kenya na S. Sudan haikuwepo.Ndivyo Mchina hufanya kazi, yeye huwa hahangaishi akili kuhusu vita vita vyenu au sijui demokrasia na vurugu zenu, anajenga kimya kimya.
Hawa Sudan Kusini tulifanya vizuri sana kuendelea kuwasklizia kwenye vita vyao mpaka walipotulia wakakuta tumejiandaa kufanya nao biashara, leo Kenya na Wakenya ndio wametamalaki huku yaani asikuambie mtu.
Eneo moja tu naona tulichelewa ni kwenye mahoteli, hoteli nyingi huku zinamilikiwa na Wahabeshi/Ethiopians, ni chache sana za Wakenya, ila mengine yote yanafanywa na Wakenya.
Naomba sana tukamilishe hiyo LAPSET mapema maana fursa ni nyingi sana, Kenya iwekeze pakubwa kwenye kanda ya Kaskazini, biashara itanoga sana miaka kumi ijayo.
Lapsset haitegemei deni la Mchina. Lapsset inajengwa kwa pesa yetu ya ndani. Lapsset na Konza zinajengwa kwa pesa yetu ya ndani. Ama unafikiri serikali ya Kenya inakopa kwenye kila mradi? Aisee kuna miradi ambayo serikali ya KE inatumia pesa za ndani.Hahahaha, Kenya now turns to South Sudan as major trading partner after Ethiopia's civil war.
Kuitegemea South Sudan Kama mshirika mkuu wa LAPSSET ni kumkabidhi Mchina bandari ya Mombasa hata kabla ya Mchina kuanza kudai kulipwa deni lake.
Hakuna nchi yoyote yenye watu wenye akili inayoweza kuingia mkata wa kuwekeza pesa kubwa na "politically unstable countries like Somalia, South Sudan and Ethiopia".
Tony254
Hiyo Ethiopia unayoidharau ina GDP kubwa kushinda yenu.Hahahaha, Kenya now turns to South Sudan as major trading partner after Ethiopia's civil war.
Kuitegemea South Sudan Kama mshirika mkuu wa LAPSSET ni kumkabidhi Mchina bandari ya Mombasa hata kabla ya Mchina kuanza kudai kulipwa deni lake.
Hakuna nchi yoyote yenye watu wenye akili inayoweza kuingia mkata wa kuwekeza pesa kubwa na "politically unstable countries like Somalia, South Sudan and Ethiopia".
Tony254
Dr.David Ndii used to warn you regularly, me too repeatedly used to tell you about your projects many of them didn't make any economic sense.You need in depth analysis of the big projects that you intend to carry out, especially when dealing with foreign loans. Unless the project has sufficient domestic peripheral uses, as implementing a project whose benefit depends upon political and economic stability in Ethiopia sounds ridiculous. Ethiopia is going through serious fracas, and assuming the same stop today, it may take 20 years to bring back Ethiopia to where it was before the war erupted.
China's recent attachment of ports and other key infrastructures in situated in other countries is serious warning sign that we need prudent borrowing policy.View attachment 2026931
Hahaha. Endelea kuota. Kenya hatuwezi kuingia kwenye civil war.Dr.David Ndii used to warn you regularly, me too repeatedly used to tell you about your projects many of them didn't make any economic sense.
Tony254 kubali usikubali, viongozi wenu na wakenya wengi kwa ujumla uwezo wao wa kufikiria ni mdogo Sana, Kenya itaendelea kudidimia mwisho itaingia katika "civil war" Kama Ethiopia.
LAmu Port South Sudan Ethiopia Transport corridor ndio maana kamili ya jina LAPSSET. Usijiabishe bure ndugu yangu, haihusiani na bandari ya Mombasa wala mchina. Alafu aliyekudanganya kwamba watu wakiwa kwenye vita huwa hawatumii bandari ni nani?Hahahaha, Kenya now turns to South Sudan as major trading partner after Ethiopia's civil war.
Kuitegemea South Sudan Kama mshirika mkuu wa LAPSSET ni kumkabidhi Mchina bandari ya Mombasa hata kabla ya Mchina kuanza kudai kulipwa deni lake.
Hakuna nchi yoyote yenye watu wenye akili inayoweza kuingia mkata wa kuwekeza pesa kubwa na "politically unstable countries like Somalia, South Sudan and Ethiopia".
Tony254
Sikusema pesa imekopwa katika huu mradi, bali uangalifu wa kutekeleza mradi na hasa pesa ikiwa ya mkopo.Lapsset haitegemei deni la Mchina. Lapsset inajengwa kwa pesa yetu ya ndani. Lapsset na Konza zinajengwa kwa pesa yetu ya ndani. Ama unafikiri serikali ya Kenya inakopa kwenye kila mradi? Aisee kuna miradi ambayo serikali ya KE inatumia pesa za ndani.