Ni nini asili ya mwitiko wa "Naamu" na "Beee"?

Ni nini asili ya mwitiko wa "Naamu" na "Beee"?

Alaa KUMBE hata heshima na ADABU na maadili mema na Uungwana na Ustaarabu !!
Lazima uunganishe na UTUMWA ????? Ndg mpendwa Hebu kuwa mkweli..... Hayo ya utumwa mulipandikiziwa wakati mlikuwa usingizini fofo? Hakuna kitu kilicho nasibu utuwma na ujio wa waarabu ambao wenyewe walikuwa na idadi ndogo ya watu kbs.., hadi hii leo hapa Duniani....Population yao ni least!! (iweje kanchi kama Oman hadi leo hawajafika idadi yao milioni moja na hawana mashamba au ujenzi wakujivunia kuwa walitumikisha watu.. kweli waweze zoezi la UTUMWA ???)
U have been feeded WRONG INFO !!!

Waarabu walileta maadili ya kidini,biashara na maisha ya AMANI kuweza kuunganisha makabila popote pale walipo funga nanga!! Kwa kuwa huko Arabuni hapakuwepo jinsia za kike kwa uwiano na wa kiume... ndo wakafika huku nakuwa WAJOMBA zetu na MASHEMEJI zetu....(kuoawan/kuingiliana) ndiyo hadi hii leo !!

Lugha ya kiswahili ilizaliwa baada ya Mwarabu kukaa chini na MBantu kujadiliana na kubadilishana matamshi na maridhiano ktk mawasiliano....!!

sasa :- Na'am ni Yes/ ndiyo kwa mwanme(M)
na Labeek ni Yes/ ndiyo kwa Mwanmke (f)

Sasa utumwa umetokea wapi....???? hebu aamka na uistawishe lugha ya TAIFA !!!
shiite
bhachu geniveros ISIS
Sasa mbona ni beeee?
 
Kwa hiyo mwarabu hakuchukua watumwa hapa A.mash...

Hadi Leo tembelea nyumba za Waarab wanawatumwa majumbani mwao ambao ni watz...tafakari maisha yao yalivo...
Ndg.Mpendwa Mafwitanda kwa heshima na taadhima,
Mungu (muumba) aetuumba na akili na ameiweka juu ubongoni.. ili tuweze kutafakari na kujiuliza na kuchanganya with nature na natural visions....
Hoja yako ya watumwa majumbani ni dhaifu na poor estimations....haina mashiko kbs !!
"yaani mtu mweusi (mTZ) akiishi ndani ya nyumba na mtu mweupe/mwarabu basi ndiyo keshakuwa mtumwa" Very weak and sick mentalitiezzz !!

yaani hujaweka hata spea au dirisha la kusema hawa watu wana unasaba ,udugu,urafiki, ujamaa,ushemeji,ujomba,ukaribu.......

Yaani Waarbu wangapi au waSwahili wangapi wamechanganya damu humu nchini??
Tafadhali jiulize mkuu.....!!
karibu sana 24/7 ukupenda kujuzwa zaidi.
 
Kwahiyo hata tofauti ya mavazi au majina ni ubaguzi wa kijinsia?
Nope. ....mbona kuna jina la Hilary kwa wake na waume? Mbona tuna vaa suruale wote na nguo ndefu au skirt kama wa Scottish? Anyway acha kila mtu aamini vikwake ili mradi kuna heshima na amani...ubarikiwe ndugu yangu!
 
Alaa KUMBE hata heshima na ADABU na maadili mema na Uungwana na Ustaarabu !!
Lazima uunganishe na UTUMWA ????? Ndg mpendwa Hebu kuwa mkweli..... Hayo ya utumwa mulipandikiziwa wakati mlikuwa usingizini fofo? Hakuna kitu kilicho nasibu utuwma na ujio wa waarabu ambao wenyewe walikuwa na idadi ndogo ya watu kbs.., hadi hii leo hapa Duniani....Population yao ni least!! (iweje kanchi kama Oman hadi leo hawajafika idadi yao milioni moja na hawana mashamba au ujenzi wakujivunia kuwa walitumikisha watu.. kweli waweze zoezi la UTUMWA ???)
U have been feeded WRONG INFO !!!

Waarabu walileta maadili ya kidini,biashara na maisha ya AMANI kuweza kuunganisha makabila popote pale walipo funga nanga!! Kwa kuwa huko Arabuni hapakuwepo jinsia za kike kwa uwiano na wa kiume... ndo wakafika huku nakuwa WAJOMBA zetu na MASHEMEJI zetu....(kuoawan/kuingiliana) ndiyo hadi hii leo !!

Lugha ya kiswahili ilizaliwa baada ya Mwarabu kukaa chini na MBantu kujadiliana na kubadilishana matamshi na maridhiano ktk mawasiliano....!!

sasa :- Na'am ni Yes/ ndiyo kwa mwanme(M)
na Labeek ni Yes/ ndiyo kwa Mwanmke (f)

Sasa utumwa umetokea wapi....???? hebu aamka na uistawishe lugha ya TAIFA !!!
shiite
bhachu geniveros ISIS
asante kunielemisha

Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
 
Kuna sababu gani za kimsingi za kufanya miitikio tofauti? Ili iweje kwa kweli? Huyu aitikie kama mbuzi na mwingine kwa heshma. ..jamaniiiiiiii
Hii dhana ya muitiko kuwa mbuzi inatoka wapi? Wale wanaoitwa Mom wanakuwa ng'ombe? Tunatawaliwa mno na ubaguzi wa kijinsia hata pasipostahili.
 
Ubarikiwe mema na ufanikiwe mustaqabali imara....
Ameen Ila sasa labbayk wanapokua hijja mbona wanaitikia wote'labbayaka llahuuma labbayka'labbayka laashrika laka labbayka'....nadhani unanielewa na wanaitika wote wake kwa waume?!!!
hebu nisaidie

Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom