Ndg.Mpendwa Mafwitanda kwa heshima na taadhima,
Mungu (muumba) aetuumba na akili na ameiweka juu ubongoni.. ili tuweze kutafakari na kujiuliza na kuchanganya with nature na natural visions....
Hoja yako ya watumwa majumbani ni dhaifu na poor estimations....haina mashiko kbs !!
"yaani mtu mweusi (mTZ) akiishi ndani ya nyumba na mtu mweupe/mwarabu basi ndiyo keshakuwa mtumwa" Very weak and sick mentalitiezzz !!
yaani hujaweka hata spea au dirisha la kusema hawa watu wana unasaba ,udugu,urafiki, ujamaa,ushemeji,ujomba,ukaribu.......
Yaani Waarbu wangapi au waSwahili wangapi wamechanganya damu humu nchini??
Tafadhali jiulize mkuu.....!!
karibu sana 24/7 ukupenda kujuzwa zaidi.