Ni nini asili ya mwitiko wa "Naamu" na "Beee"?

Ni nini asili ya mwitiko wa "Naamu" na "Beee"?

shiite

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
319
Reaction score
302
Nimeona familia nyingi za kitanzania, wazazi wakiwasisitizia watoto kuitika katika moja ya miitikio hapo juu. Utakuta mtoto wa kiume akisisitizwa kuitika " naamu" anapoitwa, na mtoto wa kike kokokotezwa kuitika " beee" Imefikia hata baadhi ya wazazi kutumia nguvu nyingi ili watoto wao waitike hivyo, kwamba ndio adamu, heshima, na utii.

Nimekuwa nikijiuliza sana nini asili ya miitikio hiyo? na je mtoto asipoitika namna hiyo anakuwa hana adamu na heshima? na miitikio hiyo kweli haina uhusiano fulani na kipindi cha ukoloni?

Nakaribisha wadau wanaiweza kunidadavulia jambo hili. Akhasante
 
naam...abeee..ni aina gyya miitikio tu designed kuendana na jinsia ili mtu anapoitwa na mwenzie arespond kwa adabu..sasa imagine kama kungekuwa hakuna hiyo miitikio ingekuwaje?
"aggyyyyy" hlafu namuitikia "unasemaje" au "nini".hata hivyo naam haina tofaut na wazungu wakitwa anajibu "yes mom" etc..kuhusu abee ilipotokea wanajua bibi zetu wa kale.
 
Nimeona familia nyingi za kitanzania, wazazi wakiwasisitizia watoto kuitika katika moja ya miitikio hapo juu. Utakuta mtoto wa kiume akisisitizwa kuitika " naamu" anapoitwa, na mtoto wa kike kokokotezwa kuitika " beee" Imefikia hata baadhi ya wazazi kutumia nguvu nyingi ili watoto wao waitike hivyo, kwamba ndio adamu, heshima, na utii. Nimekuwa nikijiuliza sana nini asili ya miitikio hiyo? na je mtoto asipoitika namna hiyo anakuwa hana adamu na heshima? na miitikio hiyo kweli haina uhusiano fulani na kipindi cha ukoloni? Nakaribisha wadau wanaiweza kunidadavulia jambo hili. Akhasante
Ubaguzi wa kijinsia
.....
 
"Naam"ni neno la kiarabu lenye tafsiri ya "ndiyo",kwenye kiswahili,inaonyesha enzi na enzi mtu(mwanume)alikuwa akitajwa tu jina basi husema "naam/ndiyo",pengine kuonyesha ni yeye kumpa uhakika mtu aliyetaja jina na labda watu walikuwa wanakaa wengi wengi(nahisi watumwa),ili kumuonyesha "bwana"kuwa hajakosea jina.
Pengine sisi tukachukua kama ni kiitikikio cha wito.
 
Kuna sababu gani za kimsingi za kufanya miitikio tofauti? Ili iweje kwa kweli? Huyu aitikie kama mbuzi na mwingine kwa heshma. ..jamaniiiiiiii
hili nafikiri ni swali la msingi! kwa mbaliii kama kuna kaubaguzi fulani!
 
"Naam"ni neno la kiarabu lenye tafsiri ya "ndiyo",kwenye kiswahili,inaonyesha enzi na enzi mtu(mwanume)alikuwa akitajwa tu jina basi husema "naam/ndiyo",pengine kuonyesha ni yeye kumpa uhakika mtu aliyetaja jina na labda watu walikuwa wanakaa wengi wengi(nahisi watumwa),ili kumuonyesha "bwana"kuwa hajakosea jina.
Pengine sisi tukachukua kama ni kiitikikio cha wito.
Alaa KUMBE hata heshima na ADABU na maadili mema na Uungwana na Ustaarabu !!
Lazima uunganishe na UTUMWA ????? Ndg mpendwa Hebu kuwa mkweli..... Hayo ya utumwa mulipandikiziwa wakati mlikuwa usingizini fofo? Hakuna kitu kilicho nasibu utuwma na ujio wa waarabu ambao wenyewe walikuwa na idadi ndogo ya watu kbs.., hadi hii leo hapa Duniani....Population yao ni least!! (iweje kanchi kama Oman hadi leo hawajafika idadi yao milioni moja na hawana mashamba au ujenzi wakujivunia kuwa walitumikisha watu.. kweli waweze zoezi la UTUMWA ???)
U have been feeded WRONG INFO !!!

Waarabu walileta maadili ya kidini,biashara na maisha ya AMANI kuweza kuunganisha makabila popote pale walipo funga nanga!! Kwa kuwa huko Arabuni hapakuwepo jinsia za kike kwa uwiano na wa kiume... ndo wakafika huku nakuwa WAJOMBA zetu na MASHEMEJI zetu....(kuoawan/kuingiliana) ndiyo hadi hii leo !!

Lugha ya kiswahili ilizaliwa baada ya Mwarabu kukaa chini na MBantu kujadiliana na kubadilishana matamshi na maridhiano ktk mawasiliano....!!

sasa :- Na'am ni Yes/ ndiyo kwa mwanme(M)
na Labeek ni Yes/ ndiyo kwa Mwanmke (f)

Sasa utumwa umetokea wapi....???? hebu aamka na uistawishe lugha ya TAIFA !!!
shiite
bhachu geniveros ISIS
 
Alaa KUMBE hata heshima na ADABU na maadili mema na Uungwana na Ustaarabu !!
Lazima uunganishe na UTUMWA ????? Ndg mpendwa Hebu kuwa mkweli..... Hayo ya utumwa mulipandikiziwa wakati mlikuwa usingizini fofo? Hakuna kitu kilicho nasibu utuwma na ujio wa waarabu ambao wenyewe walikuwa na idadi ndogo ya watu kbs.., hadi hii leo hapa Duniani....Population yao ni least!! (iweje kanchi kama Oman hadi leo hawajafika idadi yao milioni moja na hawana mashamba au ujenzi wakujivunia kuwa walitumikisha watu.. kweli waweze zoezi la UTUMWA ???)
U have been feeded WRONG INFO !!!

Waarabu walileta maadili ya kidini,biashara na maisha ya AMANI kuweza kuunganisha makabila popote pale walipo funga nanga!! Kwa kuwa huko Arabuni hapakuwepo jinsia za kike kwa uwiano na wa kiume... ndo wakafika huku nakuwa WAJOMBA zetu na MASHEMEJI zetu....(kuoawan/kuingiliana) ndiyo hadi hii leo !!

Lugha ya kiswahili ilizaliwa baada ya Mwarabu kukaa chini na MBantu kujadiliana na kubadilishana matamshi na maridhiano ktk mawasiliano....!!

sasa :- Na'am ni Yes/ ndiyo kwa mwanme(M)
na Labeek ni Yes/ ndiyo kwa Mwanmke (f)

Sasa utumwa umetokea wapi....???? hebu aamka na uistawishe lugha ya TAIFA !!!
shiite
bhachu geniveros ISIS
there you are brother! ndio maana nikaleta hii hoja ili tufunguane zaidi. Jazakharah khair!
 
Kwa hiyo mwarabu hakuchukua watumwa hapa A.mash...

Hadi Leo tembelea nyumba za Waarab wanawatumwa majumbani mwao ambao ni watz...tafakari maisha yao yalivo...
 
Back
Top Bottom