sebastian longfellow
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 173
- 117
[HASHTAG]#BringBenAlive[/HASHTAG]
...ama Kimashami...We nawe ndo wale wale, kwa hiyo kujua kiingereza ndo usomi? Kiingereza ni Lugha kama kisukuma tu mkuu!
Halafua sijui kwann nilimhisi tuu ni yeye niliposikia Rais akisema hyo sentensi.
...Hii ni hoja vikirishi mkuu. Lila mbona Lowassa kila siku anaitwa fisadi lakini haburuzwi mahakama ya mafisadi?Inawezekana pia hakuna kitu kama hicho katunga tu ili tuanze kujadili Visivyokuwepo
Kama kala Rushwa huku anarekodiwa mbona hatumuoni Mahakamani?
Ule Rushwa tena kwa Ushahidi wa Kamera Magu akuache tena Adui yake?
Anafundisha chuo gani?
Mkuu. Tuishie hapo for the ya mhusika. Nafikiri Magufuli alitumia busara kutotaja. Kila mtu ajifanyie homework yake.Anafundisha chuo gani?
we we jeKi ukweli bongo watu wengi wanaojiita professor siyo ma professor ila ni associate professors. Na watz wengi hawajui.
Mbwa kala mbwaWabongo tumelogwa....wewe watu wana- question degree yako na wewe huyo huyo una-question ya wenzio.....mtu anakwambia Dr. gani huyo na wewe unamwambia mwingine profesa gani huyo....duh!
Si mchaga huyoDuh, halafu huyu jamaa sijui kwa nini anapenda kumkandia rais.
si kwa sababu anapenda pesaDuh, halafu huyu jamaa sijui kwa nini anapenda kumkandia rais.
Unavyoonekana hata wewe ni jizi mkubwa Sana... Tuanze na weweHakuna kitu kinachoniumiza kama majizi kujulikana halafu yanaachwa yanazurula tu, yafungwe kabisa
lakini prof maji matefu hana phd. yeye prof wa kugundua wachawi tu.Atakuwa Maji marefu
Hahahaaaa...umezingua kinoma!NI Profesa Ndumilakuwili.
Wewe umenena! Watu naona wanamsingizia Ngowi. Uliyemtaja ana historia ya mashaka kwa wanaomjua. Alihusika na hizo tuhuma toka enzi za ufalme wa RA, na wanadai ndiye aliyempa 'ukamishna wa madini".DR KAFUMU WA TABORA
Njoo unikamate bwege weweUnavyoonekana hata wewe ni jizi mkubwa Sana... Tuanze na wewe