Professor Prosper
Ngowi alifanya kutoa maoni yake kwenye ITV.
Kwani vipi siyo professor? Au tatizo ni kutoa maoni tofauti???
Professor Prosper
Ngowi alifanya kutoa maoni yake kwenye ITV.
Mkuu kulipwa mshahara unaofanana sio kipimo cha usomi/elimu au machapisho. Kuna watoto huku mitaani wana shahada moja tu lakini wanalipwa pesa kuliko professor. Huwezi ku-neglect tofauti ya idadi ya tafiti na machapisho waliyofanya wasomi wawili.Mzee ni hivi, Associate Professor na Professor wote wana scale moja ya mshahara ila sema wametofautiana seniority/rank.
Kwa hiyo difference yao it's almost negligible!
Prof maji matefu anapatikana wapi mkuu?lakini prof maji matefu hana phd. yeye prof wa kugundua wachawi tu.
Soory ina kasoloJpm naye PhD yake ina masoko asinyoshee tu vidole wenzake
Tatizo alikatiwaKwa iyo hutaki mtu awe na mawazo huru?..Wa TZ mnapenda sana kuabudu watu.
Ukishakuwa professor wewe ni professor tu haijalishi kama ni assistant professor, associate professor, full professor au professor emeritusKi ukweli bongo watu wengi wanaojiita professor siyo ma professor ila ni associate professors. Na watz wengi hawajui.
Kwa iyo kila mwenye mawazo tofauti na nyie amepewa hongo?..Tatizo alikatiwa
Phd ya uchawilakini prof maji matefu hana phd. yeye prof wa kugundua wachawi tu.