Thanks broKaka Mshana, maandiko yako mazuri ana on point always, pongeslzi sana comred.


Kamati ya propaganda na uenezi ndiyo kazi yao....Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechoka kuliko uchovu wenyewe.. Ikifika mahali chama kikishindwa hata kwenye mambo mepesi kabisa! Basi tambua chama kimezeeka kuliko umri wake na kimechoka kuliko kuchokwa!
Miujiza kwa asilimia 99 inayofanywa na manabii na mitume kwenye makanisa yao ni ya uongo mkubwa na ya kutengenezwa. Shuhuda zinazotolewa na wanaoitwa waumini ni za uongo na za kutengenezwa.. Lakini hawa mitume na hawa manabii wana timu bora za kusaka vipaji vya waigizaji kwenye miujiza na shuhuda
Wale waigizaji hufanya kwa usahihi sana kiasi cha kutengeneza uhalisia na kuaminika miongoni mwa wengine, kitu kinachowapa mileage kubwa mitume na manabii wasanii
Kinachowashinda CCM ni kipi? Kwanini huwa wanashibdwa vibaya sana linapokuja suala la kutengeneza maigizo? Si wawaazime basi wale wasanii wa akina mwamposa?
Shida kubwa kongwe na sugu ya ccm ni upigaji! Maokoto na kula kwa urefu wa kamba.. Kiasi kwamba fungu linalotengwa kwa jambo fulani mpaka limfikie mlengwa linakuwa limeshapita kwenye mikono zaidi ya mitatu na kila mkono unanyofoa chake! Matokeo yake ni kufeli kwa jambo husika
Mitume na manabii ni wakweli na waaminifu kwenye jambo moja! Kutimiza ahadi za malipo kwa waigizaji wao kwenye ibada zao.. Aisee huwa hawawapunji hata senti tano.. Wanalipa walichoahidi na kukubaliana na kwakuwa malipo ni mazuri na hayana ubabaishaji basi waigizaji nao hujitahidi sana kufanya kwa usahihi bila kukosea..!
Hii huwezi kuita ni coincidence hata siku moja
Wamama watu wazima wote
Wenye sare mpya wote na zinazofanana
Waliowekwa sehemu moja
Wainuke kwa pamoja kama kwaya
Wasogee eneo moja
Walale chini kwa pamoja na kwa mfanano
Kisha waanze kupiga kelele mfano wa watu wanaolia nknk
Yaani utadhani ni maroboti yamesetiwa na kuendeshwa kwa rimoti
Aaaah jamani CCM this is too much bwana! Mnamdhalilisha mno mwenyekiti wenu mjue.. Au mmemchoka!?View attachment 2755360
Halafu yanatuona sisi manyani tuKamati ya propaganda na uenezi ndiyo kazi yao....
CCM ni ng'ombe
Johnthebaptist na bi MKORA Faizafoxy wanakuja kulitolea ufafanuzi!!Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechoka kuliko uchovu wenyewe.. Ikifika mahali chama kikishindwa hata kwenye mambo mepesi kabisa! Basi tambua chama kimezeeka kuliko umri wake na kimechoka kuliko kuchokwa!
Miujiza kwa asilimia 99 inayofanywa na manabii na mitume kwenye makanisa yao ni ya uongo mkubwa na ya kutengenezwa. Shuhuda zinazotolewa na wanaoitwa waumini ni za uongo na za kutengenezwa.. Lakini hawa mitume na hawa manabii wana timu bora za kusaka vipaji vya waigizaji kwenye miujiza na shuhuda
Wale waigizaji hufanya kwa usahihi sana kiasi cha kutengeneza uhalisia na kuaminika miongoni mwa wengine, kitu kinachowapa mileage kubwa mitume na manabii wasanii
Kinachowashinda CCM ni kipi? Kwanini huwa wanashibdwa vibaya sana linapokuja suala la kutengeneza maigizo? Si wawaazime basi wale wasanii wa akina mwamposa?
Shida kubwa kongwe na sugu ya ccm ni upigaji! Maokoto na kula kwa urefu wa kamba.. Kiasi kwamba fungu linalotengwa kwa jambo fulani mpaka limfikie mlengwa linakuwa limeshapita kwenye mikono zaidi ya mitatu na kila mkono unanyofoa chake! Matokeo yake ni kufeli kwa jambo husika
Mitume na manabii ni wakweli na waaminifu kwenye jambo moja! Kutimiza ahadi za malipo kwa waigizaji wao kwenye ibada zao.. Aisee huwa hawawapunji hata senti tano.. Wanalipa walichoahidi na kukubaliana na kwakuwa malipo ni mazuri na hayana ubabaishaji basi waigizaji nao hujitahidi sana kufanya kwa usahihi bila kukosea..!
Hii huwezi kuita ni coincidence hata siku moja
Wamama watu wazima wote
Wenye sare mpya wote na zinazofanana
Waliowekwa sehemu moja
Wainuke kwa pamoja kama kwaya
Wasogee eneo moja
Walale chini kwa pamoja na kwa mfanano
Kisha waanze kupiga kelele mfano wa watu wanaolia nknk
Yaani utadhani ni maroboti yamesetiwa na kuendeshwa kwa rimoti
Aaaah jamani CCM this is too much bwana! Mnamdhalilisha mno mwenyekiti wenu mjue.. Au mmemchoka!?View attachment 2755360
CCMNi kabila gani hilo ?
Tupo Jangwa la Araba, bado kidogo tu Baba yetu atatuambia tulivyokaa tumechoka hivyo tugeuke kuikabili Baal_seforSafari ni ndefu sana, bado Watanzania wanazunguka jangwani, sijui kanaani tutaingia lini kama taifa
Labda John lakini Huyo mwingine amefilisika roho na Hekima.Johnthebaptist na bi MKORA Faizafoxy wanakuja kulitolea ufafanuzi!!
Kura zikihesabiwakwa haki kabisa CCM haitoboiChama cha Mapinduzi (CCM) kimechoka kuliko uchovu wenyewe.. Ikifika mahali chama kikishindwa hata kwenye mambo mepesi kabisa! Basi tambua chama kimezeeka kuliko umri wake na kimechoka kuliko kuchokwa!
Miujiza kwa asilimia 99 inayofanywa na manabii na mitume kwenye makanisa yao ni ya uongo mkubwa na ya kutengenezwa. Shuhuda zinazotolewa na wanaoitwa waumini ni za uongo na za kutengenezwa.. Lakini hawa mitume na hawa manabii wana timu bora za kusaka vipaji vya waigizaji kwenye miujiza na shuhuda
Wale waigizaji hufanya kwa usahihi sana kiasi cha kutengeneza uhalisia na kuaminika miongoni mwa wengine, kitu kinachowapa mileage kubwa mitume na manabii wasanii
Kinachowashinda CCM ni kipi? Kwanini huwa wanashibdwa vibaya sana linapokuja suala la kutengeneza maigizo? Si wawaazime basi wale wasanii wa akina mwamposa?
Shida kubwa kongwe na sugu ya ccm ni upigaji! Maokoto na kula kwa urefu wa kamba.. Kiasi kwamba fungu linalotengwa kwa jambo fulani mpaka limfikie mlengwa linakuwa limeshapita kwenye mikono zaidi ya mitatu na kila mkono unanyofoa chake! Matokeo yake ni kufeli kwa jambo husika
Mitume na manabii ni wakweli na waaminifu kwenye jambo moja! Kutimiza ahadi za malipo kwa waigizaji wao kwenye ibada zao.. Aisee huwa hawawapunji hata senti tano.. Wanalipa walichoahidi na kukubaliana na kwakuwa malipo ni mazuri na hayana ubabaishaji basi waigizaji nao hujitahidi sana kufanya kwa usahihi bila kukosea..!
Hii huwezi kuita ni coincidence hata siku moja
Wamama watu wazima wote
Wenye sare mpya wote na zinazofanana
Waliowekwa sehemu moja
Wainuke kwa pamoja kama kwaya
Wasogee eneo moja
Walale chini kwa pamoja na kwa mfanano
Kisha waanze kupiga kelele mfano wa watu wanaolia nknk
Yaani utadhani ni maroboti yamesetiwa na kuendeshwa kwa rimoti
Aaaah jamani CCM this is too much bwana! Mnamdhalilisha mno mwenyekiti wenu mjue.. Au mmemchoka!?View attachment 2755360
Chama cha hovyo sanaChama cha Mapinduzi (CCM) kimechoka kuliko uchovu wenyewe.. Ikifika mahali chama kikishindwa hata kwenye mambo mepesi kabisa! Basi tambua chama kimezeeka kuliko umri wake na kimechoka kuliko kuchokwa!
Miujiza kwa asilimia 99 inayofanywa na manabii na mitume kwenye makanisa yao ni ya uongo mkubwa na ya kutengenezwa. Shuhuda zinazotolewa na wanaoitwa waumini ni za uongo na za kutengenezwa.. Lakini hawa mitume na hawa manabii wana timu bora za kusaka vipaji vya waigizaji kwenye miujiza na shuhuda
Wale waigizaji hufanya kwa usahihi sana kiasi cha kutengeneza uhalisia na kuaminika miongoni mwa wengine, kitu kinachowapa mileage kubwa mitume na manabii wasanii
Kinachowashinda CCM ni kipi? Kwanini huwa wanashibdwa vibaya sana linapokuja suala la kutengeneza maigizo? Si wawaazime basi wale wasanii wa akina mwamposa?
Shida kubwa kongwe na sugu ya ccm ni upigaji! Maokoto na kula kwa urefu wa kamba.. Kiasi kwamba fungu linalotengwa kwa jambo fulani mpaka limfikie mlengwa linakuwa limeshapita kwenye mikono zaidi ya mitatu na kila mkono unanyofoa chake! Matokeo yake ni kufeli kwa jambo husika
Mitume na manabii ni wakweli na waaminifu kwenye jambo moja! Kutimiza ahadi za malipo kwa waigizaji wao kwenye ibada zao.. Aisee huwa hawawapunji hata senti tano.. Wanalipa walichoahidi na kukubaliana na kwakuwa malipo ni mazuri na hayana ubabaishaji basi waigizaji nao hujitahidi sana kufanya kwa usahihi bila kukosea..!
Hii huwezi kuita ni coincidence hata siku moja
Wamama watu wazima wote
Wenye sare mpya wote na zinazofanana
Waliowekwa sehemu moja
Wainuke kwa pamoja kama kwaya
Wasogee eneo moja
Walale chini kwa pamoja na kwa mfanano
Kisha waanze kupiga kelele mfano wa watu wanaolia nknk
Yaani utadhani ni maroboti yamesetiwa na kuendeshwa kwa rimoti
Aaaah jamani CCM this is too much bwana! Mnamdhalilisha mno mwenyekiti wenu mjue.. Au mmemchoka!?View attachment 2755360
Naunga mkono hojaKura zikihesabiwakwa haki kabisa CCM haitoboi
Hawana akiliUmeshau ya nape kuwakanyaga viunoni eti wamelala MBunGE wao apite juu ya makario yao
Wangekua wanatuwekea jina la director kwenye kila muvi yao tungekua tunamchamba sana aiseeChama cha Mapinduzi (CCM) kimechoka kuliko uchovu wenyewe.. Ikifika mahali chama kikishindwa hata kwenye mambo mepesi kabisa! Basi tambua chama kimezeeka kuliko umri wake na kimechoka kuliko kuchokwa!
Miujiza kwa asilimia 99 inayofanywa na manabii na mitume kwenye makanisa yao ni ya uongo mkubwa na ya kutengenezwa. Shuhuda zinazotolewa na wanaoitwa waumini ni za uongo na za kutengenezwa.. Lakini hawa mitume na hawa manabii wana timu bora za kusaka vipaji vya waigizaji kwenye miujiza na shuhuda
Wale waigizaji hufanya kwa usahihi sana kiasi cha kutengeneza uhalisia na kuaminika miongoni mwa wengine, kitu kinachowapa mileage kubwa mitume na manabii wasanii
Kinachowashinda CCM ni kipi? Kwanini huwa wanashibdwa vibaya sana linapokuja suala la kutengeneza maigizo? Si wawaazime basi wale wasanii wa akina mwamposa?
Shida kubwa kongwe na sugu ya ccm ni upigaji! Maokoto na kula kwa urefu wa kamba.. Kiasi kwamba fungu linalotengwa kwa jambo fulani mpaka limfikie mlengwa linakuwa limeshapita kwenye mikono zaidi ya mitatu na kila mkono unanyofoa chake! Matokeo yake ni kufeli kwa jambo husika
Mitume na manabii ni wakweli na waaminifu kwenye jambo moja! Kutimiza ahadi za malipo kwa waigizaji wao kwenye ibada zao.. Aisee huwa hawawapunji hata senti tano.. Wanalipa walichoahidi na kukubaliana na kwakuwa malipo ni mazuri na hayana ubabaishaji basi waigizaji nao hujitahidi sana kufanya kwa usahihi bila kukosea..!
Hii huwezi kuita ni coincidence hata siku moja
Wamama watu wazima wote
Wenye sare mpya wote na zinazofanana
Waliowekwa sehemu moja
Wainuke kwa pamoja kama kwaya
Wasogee eneo moja
Walale chini kwa pamoja na kwa mfanano
Kisha waanze kupiga kelele mfano wa watu wanaolia nknk
Yaani utadhani ni maroboti yamesetiwa na kuendeshwa kwa rimoti
Aaaah jamani CCM this is too much bwana! Mnamdhalilisha mno mwenyekiti wenu mjue.. Au mmemchoka!?View attachment 2755360
Tatizo John kajaa unafiki mkubwa san hana tofaut na FARISAYO!!Labda John lakini Huyo mwingine amefilisika roho na Hekima.
Kweli haya ni maigizo. Hiki ni chama cha maigizo(CCM)Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechoka kuliko uchovu wenyewe. Ikifika mahali chama kikishindwa hata kwenye mambo mepesi kabisa! Basi tambua chama kimezeeka kuliko umri wake na kimechoka kuliko kuchokwa!
Miujiza kwa asilimia 99 inayofanywa na manabii na mitume kwenye makanisa yao ni ya uongo mkubwa na ya kutengenezwa. Shuhuda zinazotolewa na wanaoitwa waumini ni za uongo na za kutengenezwa, lakini hawa mitume na hawa manabii wana timu bora za kusaka vipaji vya waigizaji kwenye miujiza na shuhuda.
Wale waigizaji hufanya kwa usahihi sana kiasi cha kutengeneza uhalisia na kuaminika miongoni mwa wengine, kitu kinachowapa mileage kubwa mitume na manabii wasanii.
Kinachowashinda CCM ni kipi? Kwanini huwa wanashibdwa vibaya sana linapokuja suala la kutengeneza maigizo? Si wawaazime basi wale wasanii wa akina mwamposa?
Shida kubwa kongwe na sugu ya CCM ni upigaji, maokoto na kula kwa urefu wa kamba kiasi kwamba fungu linalotengwa kwa jambo fulani mpaka limfikie mlengwa linakuwa limeshapita kwenye mikono zaidi ya mitatu na kila mkono unanyofoa chake! Matokeo yake ni kufeli kwa jambo husika.
Mitume na manabii ni wakweli na waaminifu kwenye jambo moja! Kutimiza ahadi za malipo kwa waigizaji wao kwenye ibada zao. Aisee huwa hawawapunji hata senti tano. Wanalipa walichoahidi na kukubaliana na kwakuwa malipo ni mazuri na hayana ubabaishaji basi waigizaji nao hujitahidi sana kufanya kwa usahihi bila kukosea!
Aaaah jamani CCM this is too much bwana! Mnamdhalilisha mno Mwenyekiti wenu mjue, au mmemchoka?!
- Hii huwezi kuita ni coincidence hata siku moja
- Wamama watu wazima wote
- Wenye sare mpya wote na zinazofanana
- Waliowekwa sehemu moja
- Wainuke kwa pamoja kama kwaya
- Wasogee eneo moja
- Walale chini kwa pamoja na kwa mfanano
- Kisha waanze kupiga kelele mfano wa watu wanaolia nknk
- Yaani utadhani ni maroboti yamesetiwa na kuendeshwa kwa rimoti
Wamechuja hao vinangeJohnthebaptist na bi MKORA Faizafoxy wanakuja kulitolea ufafanuzi!!
Ha ha ha haWangekua wanatuwekea jina la director kwenye kila muvi yao tungekua tunamchamba sana aisee
