MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,054
- Thread starter
- #61
Una maana gani?Tukujadili wewe au tumjadili Lowasa? Anyway, kafikirie tena upya ili utambue utofauti kati yako na Lowasa.
Una maana gani?Tukujadili wewe au tumjadili Lowasa? Anyway, kafikirie tena upya ili utambue utofauti kati yako na Lowasa.
Inamaana wewe lowassa angesema nimeibiwa twende bara barani tukachinjane na wewe ungejitokeza kwenda kuchinjana na watanzania wenzako ili liwassa apate madaraka?mpuuzi wewe kama sio hekima za lowasa sasa hivi ungekuwa kweye kambi za wakimbizi kenya. Pangewaka moto hapa nchni
i
Wewe unawashwa na neno gani?Unawashwa na neno EL
mpuuzi wewe kama sio hekima za lowasa sasa hivi ungekuwa kweye kambi za wakimbizi kenya. Pangewaka moto hapa nchni
i
ungemuuliza 40percent na sio 6 mnHoja ni nini tena? Ukiyajua hayo maswali huwezi uliza unachouliza.Ni mgombea gani wa upinzani aliwahi pata kura 6+m?
Ficha ujinga wako..mpuuzi wewe kama sio hekima za lowasa sasa hivi ungekuwa kweye kambi za wakimbizi kenya. Pangewaka moto hapa nchni
i
Usijidaganye hata siku moja.Uvumilivu huwa unafika kikomo usifikiri hata watawala hawajui.wanajua wanaongoza wafu ila iko siku wafu watafufuka kujua wanaongozwaje hapo ndio utajua hiyo kauli yako haina mashiko.Wewe unadhani vyombo vya usalama wanatumia robot ambao sio binadamu?Tofauti hizo ambazo zitatoke kwa wananchi ndio hizo hizo zitakazo tokea kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.Yaani wewe umeleta hoja ya kitoto kabisaUnatanguliza mahaba katika hoja yako. Kwa Tanzania hii hilo haliwezekani la ukimbizi. Wapemba walijaribu kwenye uchaguzi wa 2000 wakateka kituo cha polisi na kuua polisi. Kilichowakuta hawawezi kusahau milele na ndio maana mpaka sasa pamoja na uchaguzi huko Zanzibar kufutwa huwasikii CUF wakiingia mitaani kwani wanajua kwa kufanya hivyo huo ndio utakuwa mwisho wa CUF. Wapemba wale wa mwaka 2000 walijifanya baada ya kuanzisha vurugu walijifanya wakimbizi huko Kenya, lakini Jumuiya ya Kimataifa ikawaangalia tu. Huwezi ukaanzisha vurugu Tanzania ukapona. Vyombo vya dola hapa viko imara kuliko wengi wanavyodhania. Ukifanya nyoko na ukaingia mtaani utaipatapata. Nakumbuka uko mwaka Profesa Lipumba aliongoza maandamano, dola ikafanya kazi yake Profesa Lipumba akapigwa mpaka nadhani akakimbilia ubalozi Fulani. Tanzania usijaribu kufanya fujo za kitoto, za kijinga na za kuiga. Utakufa tu. Umma wa watanzania hautaki fujo wala vurugu. Wanasiasa uchwara wataendelea kuwadanganya lakini utashangaa wanasiasa hao wao hawako msitari wa mbele. Wanaacha walalahoi wawe msitari wa mbele na wao wanajificha. Nenda Mtwara ukawaulize wanaMtwara kilichowapata baada ya kuleta vurugu za gesi...Hawataki kusikia tena jambo kama hilo. Walikuwa wanadanganyana je 'INATOKA HAITOKI?' Jibu lao likawa HAITOKI kwa maana ya gesi eti haiwezi kutoka MTWARA. Wakaingia mitaani. Nakuthibitishia hawatarudia tena...
Na wale waliokua wanasema ccm imeleta amani msichague wapinzan wataleta vita nae ni mtu gani?Mpuuzi ni yule anayedhani amani ya Tanzania alikuwa ameishikilia kwenye mdomo wake!
Mpuuzi ni yule anayedhani Watanzania wengi ni kama manyumbu!
Mhhh kuhusu unabii hapa ni tatizo but anywei sku hizi kila mtu anakuwa nabii lakini si wa Mungu nimjuayelowasa anasikilizwa na watanzania kupita rais wako magufuli... ni nabii wa zama hizi.
Wewe unadhani kila mwanaJF ana mke lakini pia nikijenga hoja kulingana na fikra zako, unataka kutuambia mkeo akigegedwa huwa kutwa nzima ni lowasa lowasa?Hivi lowasa alimgegeda mkeo nini maana kutwa ni lowasa lowasa!
Bukoba hawa watu ambao kabla ya kujibu hoja huwa hawafikirihi ubongo ndio huwa wanaumbuka vitu vidogovidogo hivi.Na wale waliokua wanasema ccm imeleta amani msichague wapinzan wataleta vita nae ni mtu gani?
Mbowe is cunning and go-getter!Mbowe ndio mshauri wake mkuu
Hata shetani anasikilizwa na watu zaidi ya Mungu!
Yes, Lowassa ni nabii kwa kutumia fikra za wapambe wake kama Gwajima na William Mwamalanga![/QUOTE
Subiri kwanza Ngwajima yupi?
Hata shetani anasemwa sana lakini hajawahi kuwa Mkuu wa mamlaka duniani na mbinguni!Lowasa ndo rais ndo maana hawaishi kumsema.
Ungeanza kumshauri Lowassa ambaye kwa sasa amebakiwa na story za kuibiwa kura kila akikutana na kikundi cha watu!Yani inaonekana wew ni MNAFIKI !uchaguz wa mwaka jana bado unakukuna shida yako uone watu wanavyotukana.Siuseme mambo yako au unafurahia kukwaza watu.mviuuuuuuuuuuuuuuu
njoo uolewe uchagan naona unawatamanKura milioni 6 (40%) zilipatikana hivi: milioni 3 (19%) ni kura za mikoa miwili zilizopigwa kwa njia ya ukabila. Kura milioni 1 zilitoka Dar es Salaam na milioni ingone 1 (jumla 16%) ni kura halali kwa watu genuinely waliamini Lowassa anaweza kuleta mabadiliko ya mwenendo wa serkali. Milioni 1 ziliibiwa sehemu za mijinimijini kuliko na maduka ya Wachagga. Kura halali za Mhe Lowassa alishindwa 85%/15%.