Ni nani anayemdanganya Edward Lowassa?

Ni nani anayemdanganya Edward Lowassa?

Nahisi kwamba mzee wa monduli ana kiburi sana, na kwa bahati mbaya kinamponza kwani kinamfanya ajiamini na kuwajengea matumaini hewa wale wanaomzunguka. Huyu amiri jeshi mkuu wa sasa hawezi na hapendi kupelekeshwa, ni bora mzee wa monduli akautambua ukweli huo, huyu wa sasa sio yule wa awamu ya nne ambaye alimheshimu na kumchekea kwa sababu hawakukutana barabarani (uhusiano wa miaka mingi). Awamu ya tano haitokubali gestures za dharau hata kidogo, ukileta ukauzu unakutana na ukauzu times ten. Huu ni wakati wa waliokaribu na mgombea wa UKAWA kumshauri ili image yake isije kupoteza heshima.
 
Eti wewe ndie msemaji ukweli? Basi wakweli kwenu hawako. Ulianza vzr baadae naona munkari ukakupanda, ndio ukaanza kuandika ujinga. Muache Mungu aitwe Mungu, lakini shurti walivyorudia kuhesabu kura Tunduma za urais na ikaonekana wamekosea, pale pale angekataa matokeo yote ndio ungejua nini kingefuata.
Kama ningekuwa nimeandika ujinga nadhani usingesumbuka kujaribu kujibu ujinga kama wewe siyo mjinga!

Kwani nimekuambia Mungu haitwi Mungu?

Kwani hufahamu kama Lowassa alikataa matokeo yote na akajitangaza yeye ni mshindi wa kiti cha Rais wa Tanzania, lakini hakuishia hapo, akataka pia NEC imtangaze haraka sana!
 
Cha
Chaguzi zilizopita kuna mgombea aliwahi kupata kura 6m? Chaguzi zilizopita ziliwahi kuwa na mwamko ulioonyeshwa na wananchi kama uchaguzi huu? shirikisha akili kidogo acha kufikiria ndani ya box.
Kura milioni 6 (40%) zilipatikana hivi: milioni 3 (19%) ni kura za mikoa miwili zilizopigwa kwa njia ya ukabila. Kura milioni 1 zilitoka Dar es Salaam na milioni ingone 1 (jumla 16%) ni kura halali kwa watu genuinely waliamini Lowassa anaweza kuleta mabadiliko ya mwenendo wa serkali. Milioni 1 ziliibiwa sehemu za mijinimijini kuliko na maduka ya Wachagga. Kura halali za Mhe Lowassa alishindwa 85%/15%.
 
huyu jamaa ana kura 6m kati ya 8m za magu akifanya fujo tutakoma
Kuwa na kura nyingi haina maana wale walikupigia kura wanakubaliana na mawazo ya kufanya vurugu.

Ni huyu huyu Lowassa alituambia akihama CCM kwenda CHADEMA ataondoka na wabunge 50 wa CCM, wenyeviti wa mikoa wa CCM 22, wenyeviti wa wilaya zaidi ya 80 na wakuu wa wilaya lakini baada ya kuondoka CCM, alifuata na genge lake la wachumia tumbo wachache.


Kama anafikiri waliompigia kura wangeweza kuwa kama manyumbu atakuwa anajidanganya au anadanganyanywa na watoa ushauri.
 
Last edited:
Kura milioni 6 (40%) zilipatikana hivi: milioni 3 (19%) ni kura za mikoa miwili zilizopigwa kwa njia ya ukabila. Kura milioni 1 zilitoka Dar es Salaam na milioni ingone 1 (jumla 16%) ni kura halali kwa watu genuinely waliamini Lowassa anaweza kuleta mabadiliko ya mwenendo wa serkali. Milioni 1 ziliibiwa sehemu za mijinimijini kuliko na maduka ya Wachagga. Kura halali za Mhe Lowassa alishindwa 85%/15%.
Acha statistics za kugushi
 
Kubali tu yaishe, mtoa mada kampa za uso!
Kwanza Lowassa si mpinzani per se, ni mganga njaa tu wa kibiashara!
..Ma la mamako
Mwacheni Lowassa
Na hii ndio shida ya ugonjwa unaoitwa uvumilivu.
Tumevumilia, Tumetulia na nyie wangese hamtaki kutulia.
Siku inakuja, haki ya Mungu siku itafika tu..

Mwacheni Lowassa!

Mawazo pita kwa amani
Pole wanaokatwa vichwa Geita.
 
Badala ujenge chama chako cha ACT unadhani una ubavu wa kupambana na Lowasa!

Wewe utabaki kudanganya wajinga wenzio kama kina Machemli na matokeo yake wanaishia kupata kura 1820...
Wewe unajenga chama gani mpaka unipe ushauri wa kujenga ACT?

Wewe unadanganya kina nani mpaka wameishia kupata kura nyingi?
 
Hivi lowasa alimgegeda mkeo nini maana kutwa ni lowasa lowasa!
 
Hivi lowasa alimgegeda mkeo nini maana kutwa ni lowasa lowasa!
 
Hivi lowasa alimgegeda mkeo nini maana kutwa ni lowasa lowasa!
 
Yani inaonekana wew ni MNAFIKI !uchaguz wa mwaka jana bado unakukuna shida yako uone watu wanavyotukana.Siuseme mambo yako au unafurahia kukwaza watu.mviuuuuuuuuuuuuuuu
 
Lowasa atakuwa alikugeged we na mk!!!eo maana kutwa kumtaja laigwanan
 
Lowasa atakuwa alikugeged we na mk!!!eo maana kutwa kumtaja laigwanan
 
Back
Top Bottom