Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,374
- 22,992
Rudi shule kijana, bado haujachelewa. Siku hizi kuna hadi google, ushindwe mwenyewe tu.Ccm kiingereza kiliwakataa kabisa. Ndio umeandika nini hicho?
Rudi shule kijana, bado haujachelewa. Siku hizi kuna hadi google, ushindwe mwenyewe tu.Ccm kiingereza kiliwakataa kabisa. Ndio umeandika nini hicho?
Tujulishe tu mkuuSisi backbenchers tunakaaga kimya tu hata kama jambo tunalifahamu maana huwa tukijibu hata kikiwa sahihi tunaambiwa tunapiga kelele
Nawaza nawaza nawaza kwa sauti.. Miaka miwili nyuma hizi stori tushazisahau, tulikuwa na amani yetu, lakini paaap miezi michache kuelekea uchaguzi mabadiliko ya hapa na pale..Unataka kusema.....?