Ni nani alimuua Sophie..!?

Ninatumai epsode...itarejea karibuni, kwani muuaji wa Sophie bado hajapatikana. Ktk uchunguzi sijaona kama zile glass mbili zilifanyiwa uchunguzi wa alama za vidole hivyo kuwezesha kujua kama zilitumika kabla ama baada ya mauti ya Sophie, pia ni kwanini Dr. wa uchunguzi achelewe kwa muda wote huo na kusababisha kuidhalilisha maiti?
 
Ninatumai epsode...itarejea karibuni, kwani muuaji wa Sophie bado hajapatikana. Ktk uchunguzi sijaona kama zile glass mbili zilifanyiwa uchunguzi wa alama za vidole hivyo kuwezesha kujua kama zilitumika kabla ama baada ya mauti ya Sophie, pia ni kwanini Dr. wa uchunguzi achelewe kwa muda wote huo na kusababisha kuidhalilisha maiti?
Glasi zilikutwa kwenye beseni la kuoshea vyombo...............zilishamwagiwa maji, sidhani kama alama za vidole zinaweza kupatikana hapo................................. Swala la Daktari wa uchunguzi kuchelewa, bado linawaumiza vichwa wachunguzi wa kesi hii nchini Ufaransa......................
 
Kuna movie inaitwa "Presumed Innocent" ina na novel yake pia (I have both) Inaonyesha jinsi gani chiting ikichangaywa na mauaji inavyokuwa balaa. Amecheza jamaa mmoja anaitwa Harrison Ford. Hapo wengi tu wanaweza kuwa wauaji including mume wake -si alisema wanaweza ku divorce amrudia ex husband. Anajidai ana uchungu ili kufuta ushaidi na hivi ni billionaire hakamatwi mtu.

Sawia kaka, ni funzo tosha kweli!
 
Hayo ni mambo ya fedha mimi nahisi mumewe anahusika na amesuka mipango kabambe ya kimafia.

Glasi zilikutwa kwenye beseni la kuoshea vyombo...............zilishamwagiwa maji, sidhani kama alama za vidole zinaweza kupatikana hapo................................. Swala la Daktari wa uchunguzi kuchelewa, bado linawaumiza vichwa wachunguzi wa kesi hii nchini Ufaransa......................
 
Ndio Gustavo,

Kwa kweli kisa kinasikitisha sana na mbay zaidi, muuaji hajajulikana ni maswali magumu kutegua.
Jamani marehemu wangeweza kurudi na kutugelia haya mafumbo ingekuwa vyema sana...
 
Kwa hiyo polis wetu wakifanya uchunguzi makini watampata muuaji wa marehemu Kanumba? Kesi nyingine ni ngumu sana jamani. But kwa nini wasiangalie mwenendo wa huyo Ian B siku hiyo? Au residence huwa hawachunguzwi?
 
Ndio Gustavo,

Kwa kweli kisa kinasikitisha sana na mbay zaidi, muuaji hajajulikana ni maswali magumu kutegua.
Jamani marehemu wangeweza kurudi na kutugelia haya mafumbo ingekuwa vyema sana...
Kuna uvumi ulivumishwa mara baara ya mauaji hayo kwamba, Bailey alishiriki au alifanya mauaji hayo ili aweze kunufaika kifedha kwa kuuza habari za kifo hicho na kuzisambaza kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa na kujipatia fedha. Na hiyo ilitokana na umaarufu aliokuwea nao Sophie....................Hata hivyo uvumi huo haukutiliwa maanani........!
Najaribu kujiuliza ni kwa kiasi gani magazeti ya udaku hapa nchini yalinufaika kwa kifo cha kanumba...............!
 
sio wote waendao jela wanamakosa jamani hata kalulu kanaweza kusave ila kataka sana jela kutokana na mfumo wa serikali yetu.
 
Mkuu hakuan magazeti yanayo toka kwako sijayapenda, sema mengine yanakuwa yana ukurrasa marefu sana... mpaa unachoka kabla hujayasoma.


Kumbe tuko wengi hata mie hunichoooooooooooooooooooooosha mpaka basi marefu mno bana ahkkkkaaaa
 
hiyo kesi ni ngumu! mtambuzi inabidi uendelee mpaka tumjui muuaji! lakini mi na hisi ex_husband wa sophie anaweza akawa anahusika ndio maana alikuwa anashinikiza muuaji atafutwe alipo kuwa anaishi sophie,nahisi hapo kuna kitu.
 
Hii ni utata mtupu, polisi kama michosho vile. Ni nani alionekana akiosha viatu mtoni asubuhi sana? Na hao waume zake hao kunaweza kuwa na namna kwa mmoja wao.
Sante Mtambuzi.
 
Hii ni utata mtupu, polisi kama michosho vile. Ni nani alionekana akiosha viatu mtoni asubuhi sana? Na hao waume zake hao kunaweza kuwa na namna kwa mmoja wao.
Sante Mtambuzi.

yule ndio mwandishi wa habari alio hojiwa na akasema alitoka kukata mti christimas na alisha thibitisha hilo! yani hapo ni utata mtupu mi nina msaspect huyo ex husband wake.
 
Back
Top Bottom