My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
- Thread starter
- #101
Nilikuwa nimezongwa mno na shuglhuli za kiuchumi,nitakuja next week kuimaliziaAnakuja.
Nilikuwa nimezongwa mno na shuglhuli za kiuchumi,nitakuja next week kuimaliziaAnakuja.
Next week naileta mkuuLete Part B kama hautajali, it seems itakuwa na madini sana.
Upo Canberra maeneo gani? Kwa sasa nipo Kenya nitakuja huko soonMy Son drink water habari hapo uliko mkuu lini unakuja Cannbera tuje tuzungumze mbili tatu
Tulihisi ulitangulizwa kabla ya mwenda zakeNilikuwa nimezongwa mno na shuglhuli za kiuchumi,nitakuja next week kuimalizia
Hii dunia!!!Kifo cha mch Mtikila ni kifo tata kweli kweli
Kinahusianishwa moja kwa moja na mkuu wa Watutsi na sababu kuu ni WARAKA alioutoa Marehemu Mtikila kuhusiana na namna hawa jamaa ( walipewa jina la wahamiaji harámu) walivyojipenyeza na kuanza kushika na kupora rasilimali za wananchi hasa maeneo ya mipakani na wakajipenyeza kwenye baadhi ya vyeo nchini mwetu kinyemela wakiwa na mission yao ya siri
Waraka ule wa Mtikila ulitoka kipindi ambapo utawala wa Jakaya ulikuwa ktk Vita baridi na Paulo, na inasemekana ule waraka uliandaliwa na 'kitengo' kisha Mtikila akatumika kama carrier ili Ujumbe uende kwenye hadhira ( na aliusambaza kwenye media zote) na kisha Serikali ije ireact kwa kuchukua hatua kali dhidi ya 'hao jamaa'.
Na kweli ikawa hvyo WARAKA ulipotoka, Serikali ikareact kwa kuanzisha operation nchi nzima iliyopewa jina la 'kuondoa wahamiaji harámu' lakini ndani yake walengwa wa ile operation walikuwa hao jamaa.
Kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa operation ile ilikuwa chini ya Simon Sirro ( kwa sasa IGP)
Paulo wa Rwanda na timu yake wakawa wamepigwa kweli kweli ktk kila maeneo walipojipenyeza na kugundulika.
Hapo ndipo Mtikila akawa ameingia kwenye 18 za Paulo
Ni Diwani Kata gani mkuuWanaingia kidogo kidogo,wameanzia chini,mimi namjua jamaa mmoja huko fb zamani profile lake ilikua inasoma from gisenyi,akajichanganya maccm huko alipoanza kupata mwelekeo akabadili profile sasa hivi ni diwani kanda ya ziwa huko,na kipindi cha bunge uwa sana dom,bahima plan yao ni vizazi na vizazi mazee
Next week naileta mkuu
Ndio alipata ajali ambayo vyuma vilimkaba shingoni hadi akafa vilisokota ile tai ndio ikachangia kufa
Sent using Jamii Forums mobile app
99%kwahiyo yule wa kwetu anapatikana katika %1 au 99
Vipi Kwan hutaki kuonana na Sirro umuone ata alivyo ni mzuri huyo weeeee.kabla ya kifo chake nilitamani sana kumuona live..sijui nina mkosi gani kila mtu ambae ananiinspire nikiweka nia tu ya kukutana nae...miaka kadhaa mbele lazima adanje...niliweka nia ya kukutana na mwenda zake nae vile vile akaenda nadhani nitakutana nao huko walipo
Slim ni Kagame,usimsikilize huyu mganga.....Mtikila alipata ajali akafa period.MWENDO wa codes aisee bahima empire na Mr slim may be ZITAKUWA unlocked mbele
kanda ya ziwa ndio home base yao. wamejiimarisha sana ukanda ule. nawasikitikia sana ndugu zangu wasukuma. upendo na ukarimu wao kwa wahamiaji haramu unaenda kuiponza nchi.Wanaingia kidogo kidogo,wameanzia chini,mimi namjua jamaa mmoja huko fb zamani profile lake ilikua inasoma from gisenyi,akajichanganya maccm huko alipoanza kupata mwelekeo akabadili profile sasa hivi ni diwani kanda ya ziwa huko,na kipindi cha bunge uwa sana dom,bahima plan yao ni vizazi na vizazi mazee
Na SOKOINE JE?Slim ni Kagame,usimsikilize huyu mganga.....Mtikila alipata ajali akafa period.
Kwa sababu ni mvivu wa kutotaka kuhangaika kujua yaliyojificha.Nachokumbuka kilichomuua Ni ajali ya gari hayo mengine me siyajui kabisa
Hakuna Raisi asiye ua labda labda awe ni muvi ya katuni ,,,tofauti ni kaua kwa haki au dhurumaKikwete aliua maelfu na Magufuli makumi elfu
Ina maana mr slim ana uwezo wa kuingia nchi nyingine na kufanya yake asijulikane? Basi anaweza kuingilia chaguzi na kumuweka amtakaye awe rais kama anaweza kuingia kwenye nchi ya watu wengineKuna tetesi na tuhuma ambazo hazijawahi kusemwa waziwazi kwamba Bahima Empire kupitia Mr Slim ndio walihusika na mpango mzima wa kumnyamazisha milele ... Pengine mwendelezo wa hii mada utatupa majibu