Ni nani alimuua Mchungaji Mtikila?

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao wakipona na kuonekana wakijiuguza majeraha feki ya kuumia kwenye ajali.

Mtikila alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Flat iliyopo karibia na kiwanda cha Bia cha Breweries, maeneo ya shule ya Uhuru Kariakoo.

Japokuwa alikuwa na nyumba mikocheni, lakini alipenda kuishi maisha locally sana,hakupenda kusafiri kwa gari lake,alipenda kupanda Daladala.
Mungu alimpa mke wa kufanana naye, mkewe Georgia alikuwa mama mwanaharakati kama mumewe.

Mtikila aliwahi kufungwa kwa makosa mbalimbali ya kuikosoa Serikali.Lakini hakuwa mwiba sana kwa Serikali ya Tanzania.

Hali ya mambo ilibadilika ghafla,pale Mtikila aliposema kuwa, Serikali ya Rwanda imeingiza Tanzania zaidi ya majasusi 35,000 kwa mission maalumu...

Soma > Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

INAENDELEA
 
Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao wakipona na kuonekana wakijiuguza majeraha feki ya kuumia kwenye ajali.

Mtikila alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Flat iliyopo karibia na kiwanda cha Bia cha Breweries, maeneo ya shule ya Uhuru Kariakoo.

Japokuwa alikuwa na nyumba mikocheni, lakini alipenda kuishi maisha locally sana,hakupenda kusafiri kwa gari lake,alipenda kupanda Daladala.
Mungu alimpa mke wa kufanana naye, mkewe Georgia alikuwa mama mwanaharakati kama mumewe.

Mtikila aliwahi kufungwa kwa makosa mbalimbali ya kuikosoa Serikali.Lakini hakuwa mwiba sana kwa Serikali ya Tanzania.

Hali ya mambo ilibadilika ghafla,pale Mtikila aliposema kuwa, Serikali ya Rwanda imeingiza Tanzania zaidi ya majasusi 35,000 kwa mission maalumu...

Soma > Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

INAENDELEA
Kuna tetesi na tuhuma ambazo hazijawahi kusemwa waziwazi kwamba Bahima Empire kupitia Mr Slim ndio walihusika na mpango mzima wa kumnyamazisha milele ... Pengine mwendelezo wa hii mada utatupa majibu
 
Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao wakipona na kuonekana wakijiuguza majeraha feki ya kuumia kwenye ajali.

Mtikila alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Flat iliyopo karibia na kiwanda cha Bia cha Breweries, maeneo ya shule ya Uhuru Kariakoo.

Japokuwa alikuwa na nyumba mikocheni, lakini alipenda kuishi maisha locally sana,hakupenda kusafiri kwa gari lake,alipenda kupanda Daladala.
Mungu alimpa mke wa kufanana naye, mkewe Georgia alikuwa mama mwanaharakati kama mumewe.

Mtikila aliwahi kufungwa kwa makosa mbalimbali ya kuikosoa Serikali.Lakini hakuwa mwiba sana kwa Serikali ya Tanzania.

Hali ya mambo ilibadilika ghafla,pale Mtikila aliposema kuwa, Serikali ya Rwanda imeingiza Tanzania zaidi ya majasusi 35,000 kwa mission maalumu...

Soma > Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

INAENDELEA
Ehe...
 
Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao wakipona na kuonekana wakijiuguza majeraha feki ya kuumia kwenye ajali.

Mtikila alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Flat iliyopo karibia na kiwanda cha Bia cha Breweries, maeneo ya shule ya Uhuru Kariakoo.

Japokuwa alikuwa na nyumba mikocheni, lakini alipenda kuishi maisha locally sana,hakupenda kusafiri kwa gari lake,alipenda kupanda Daladala.
Mungu alimpa mke wa kufanana naye, mkewe Georgia alikuwa mama mwanaharakati kama mumewe.

Mtikila aliwahi kufungwa kwa makosa mbalimbali ya kuikosoa Serikali.Lakini hakuwa mwiba sana kwa Serikali ya Tanzania.

Hali ya mambo ilibadilika ghafla,pale Mtikila aliposema kuwa, Serikali ya Rwanda imeingiza Tanzania zaidi ya majasusi 35,000 kwa mission maalumu...

Soma > Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

INAENDELEA

Dhahania izo
 
Back
Top Bottom