mk4
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 285
- 328
Hao ni matapeli tu soyo kuendesha familia ili wanunue train na ndege na magari ya kifahari. UTAPELI MTÙPU
Huo utapel wao mm hauniusu mm natoka kama mkristo kama wao wananunua wanawake na pesa ya fungu la kumi mm nilitoa basi Mungu ndio mwenyewe ata waukumi na siyo mm
Mm nafanya sehemu yangu kama mkristo anayetaka injir isonge mbele,
Coz kazi ya kusambaza injir ni ya kila mkristo, ukisoma biblia habari za mitume ya yesu walivyoacha vyote kwaanjir injir ifike ata kwetu sisi basi inabudi na mm kuchangia kila mwezi kufanya injir kufika sehemu nyingine coz ni kazi ya kila mkristo
Kama unaweza husitoe fungu la kumi na kutoa maubir ya Mungu ata barabara kwa masaa ata 24 kwa mwezi siyo mbaya coz utakuwa umetoa mchango mkubwa kuliko ata sisi tunaotoa kanisan